Tathmini ya Kiwango cha Confidence: Dr Tulia VS Lowassa

Tathmini ya Kiwango cha Confidence: Dr Tulia VS Lowassa

Sijaona kiwango cha lowassa unachokiongelea, yawezekana ushabiki ndio uliokujaa. Lakini naye mleta mada amekosea sana, anamlinganisha msanii cum mpiga dili na msomi aliyebobea! amemuonea sana Dr.

Tatizo lako njaa inakusumbua,lowasa ni internation figure,u don't need to go to school to know this,ila kwa kuwa unatumia makalio kufikiria endelea,time will tell
 
mh lowassa is out of game nw so ntakuona mjinga kama utakaa kulinganisha future V/S past always future huwa ni bora zaid ya past tena spka wenu mwenye PHD anashindwa kukariri hata historia yake mwenyewe yani ingekuwa uspika wanachagua kwa hoja na uwezo mkubwa wa ufahamu na kujiamini nadhani sakaya angepata 95% lakn kwa vle mnachagua chama hata angesimama rafiki yangu kingwendu angeshinda 2 all in all mtujibu dr wenu kaingia lini ccm?
 
Tangu lini mgonjwa jamani akawa na confidence? Mnalinganisha uji na chai upi utashiba haraka
 
Tatizo lenu mna amini kuwa serikali ipo kwa ajili ya kukandamiza wananchi halafu Bunge lipo kwa ajili ya kutetea wananchi. Mtazamo huu sio mara zote ni sahihi hasa pale anapo patikana rais ambae ana upendo na wananchi na anajua shida zao. Serikali ya Dkt Magufuli haiwezi kupeleka bungeni vitu vya kukandamiza wananchi. Sasa kwanini neno HAPANA litumike?

Wewe Dada unaonekana ukiwa na huba na MTU hujui neno hapana. Hata katika majambo dudu likienda kusiko maadam una imani na huyo "uliyemchagua" utatulia tuu na kutoa ushirikiano kwa vile ni "kada" mwenzio
 
mh lowassa is out of game nw so ntakuona mjinga kama utakaa kulinganisha future V/S past always future huwa ni bora zaid ya past tena spka wenu mwenye PHD anashindwa kukariri hata historia yake mwenyewe yani ingekuwa uspika wanachagua kwa hoja na uwezo mkubwa wa ufahamu na kujiamini nadhani sakaya angepata 95% lakn kwa vle mnachagua chama hata angesimama rafiki yangu kingwendu angeshinda 2 all in all mtujibu dr wenu kaingia lini ccm?
Huyu binti mleta mada atakuwa Yuko ktk siku zak tu ndomana ana post ujinga ujinga
 
Kati ya dada Hamida ( HAMMY D) na dr. Tulia nani ni kilaza kumzidi mwenzake?
Toa maoni yako
 
mh lowassa is out of game nw so ntakuona mjinga kama utakaa kulinganisha future V/S past always future huwa ni bora zaid ya past tena spka wenu mwenye PHD anashindwa kukariri hata historia yake mwenyewe yani ingekuwa uspika wanachagua kwa hoja na uwezo mkubwa wa ufahamu na kujiamini nadhani sakaya angepata 95% lakn kwa vle mnachagua chama hata angesimama rafiki yangu kingwendu angeshinda 2 all in all mtujibu dr wenu kaingia lini ccm?

Lengo la huu uzi ni kutazama je wale wanaotoa malalamiko kuwa fulani hafai wana uhalali wa kufanya hivyo ama lah. Kwa maelezo yaliyotolewa kwenye uzi huu ni dhahiri UKAWA hawana uhalali wowote wa kusema fulani hafai au anafaa. Maana wao walikumbatia uozo na kutaka kuufanya uwe rais; Walikumbatia mgonjwa na kutaka kumfanya awe rais; Walikumbatia fisadi na kutaka kumfanya awe rais. Hii kamwe Watanzania hatuwezi kusahau. Tutaendelea kukumbuka na kila mara UKAWA wakitaka kufanya judgement tutarudi kwenye rekodi kuangalia kama wana uhalali wa kutoa maoni ama lah.
 
ndo tatzo la mtu akishiba anapost ujinga utaandikaje maada ya kumlinganisha kuku na njiwa
 
Hahaaa!!! Kweli hamada umelewaa!!! Jana nilisema hapa hyu mtu hawez kujidefend mpk amtumie lowassa! Kusimama na utashi wake hawez hta!! Fuatilia comment zake humu jf kila swali akiulizwa anajibu lowassa!!! Content za uzi sifuri kabisa na hata hoja hujui kujenga!! Eti alikimbia midahalo huyo magufuli alienda?? Plus JPM alikimbia hata mahojiano na vituo vyote vya ndani na nje ya nchi. Hoja yake nyingne ni kuaharisha mikutano!!! Daah yaan hapa cjui nikuite jina gani aseee!!! Kuhairisha mikutano hoja yako ni confidence?? Really????? Lowassa alitumia dk 2 hadi 10 na kila mtu alimuelewa kama ingekua maneno mengi ni confidence jakaya angekua ni the king of confidence dunia nzima bt the guy is still a coward!!! Kakalia mipasho tu!! So far cjaona hata hoja ulizojenga zaid ya ujinga!!! Na umethibitisha kua Tulia hana confidence!!! ULITAKIWA KUCOMPARE CONFIDENCE YA TULIA NA MAGDALENA SAKAYA kitu ambacho umeshindwa ukaona umuweke ambae hahuski hata kidg!!
 
Hahaaa!!! Kweli hamada umelewaa!!! Jana nilisema hapa hyu mtu hawez kujidefend mpk amtumie lowassa! Kusimama na utashi wake hawez hta!! Fuatilia comment zake humu jf kila swali akiulizwa anajibu lowassa!!! Content za uzi sifuri kabisa na hata hoja hujui kujenga!! Eti alikimbia midahalo huyo magufuli alienda?? Plus JPM alikimbia hata mahojiano na vituo vyote vya ndani na nje ya nchi. Hoja yake nyingne ni kuaharisha mikutano!!! Daah yaan hapa cjui nikuite jina gani aseee!!! Kuhairisha mikutano hoja yako ni confidence?? Really????? Lowassa alitumia dk 2 hadi 10 na kila mtu alimuelewa kama ingekua maneno mengi ni confidence jakaya angekua ni the king of confidence dunia nzima bt the guy is still a coward!!! Kakalia mipasho tu!! So far cjaona hata hoja ulizojenga zaid ya ujinga!!! Na umethibitisha kua Tulia hana confidence!!! ULITAKIWA KUCOMPARE CONFIDENCE YA TULIA NA MAGDALENA SAKAYA kitu ambacho umeshindwa ukaona umuweke ambae hahuski hata kidg!!

huyo ndio Dada Hamida mahaba kwa Lowasa yamepitiliza mpaka kamsahau mumewe...
 
WanaJF,

Kwa sasa tayari uongozi wa Bunge umekamilika kwa maana tayari tunae Spika na naibu wake.

Lakini katika mchakato wa kumpata naibu spika changamoto zilijitokeza moja ikiwa ni malalamiko kutoka UKAWA kuwa mshindi wa nafasi hiyo HANA confidence, ikiwa hii ni moja tu kati ya mapungufu mengi ambayo UKAWA waliibua kuhusu Dr Tulia.

Sasa hemu leo tutathmini kati ya Dr Tulia na aliyekuwa mgombea urais wa CHADEMA, Edward Lowassa, yupi kati ya hawa HANA confidence.

TATHMINI YA KIWANGO CHA CONFIDENCE CHA LOWASSA:

1. Kukimbia Midahalo

Kati ya wagombea wa nafasi ya urais, Lowassa alikuwa kinara wa kukwepa midahalo kila mara inapo andaliwa. Pale anapotoa kisingizio kuwa yupo nje ya Dar, alipewa 'option' ya kutumia njia kama skype bado aliendelea kugoma kushiriki midahalo hiyo. Hii ni confidence?

2. Kutumia Dakika 2 kutoa hotuba

Kati ya wagombea urais, ni Lowassa pekee ndiye alikuwa kivutio na kichekesho kwa wakati mmoja. Maana alikuwa akipata mafuriko na gharika hasa kutoka kwa vijana wanywa viroba na ambao kimsingi hawakuwa na kadi za kupigia kura...lakini wakati huo huo vijana hao wamekuwa wakitoka kwenye mikutano hiyo na vicheko kwa maana matarajio yao yanakuwa hayajafikiwa...mtu walie mshabikia anatoa hotuba dakika 2!!! Hii ni confidence?

3. Kuhairisha mikutano mara kwa mara

Imekuwa ni tabia ya CHADEMA/ UKAWA iliyozoeleka kabisa ya kuhairisha mikutano yake kipindi chote cha kampeni. Unakuta Lowassa amewasili kwenye mkutano kwa mbwembwe kubwa, lakini baada ya nusu saa wanatangazia hadhira kuwa mkutano umeahirishwa kisa 'mic' mbovu...mara jukwaa sio imara; na upuuzi wa aina hiyo. Kumbe kiuhalisia mzee wa machooni (Lowassa) anakuwa ameshafanya yake (amejinyea) kwa uoga wa watu. Je hii ni confidence?

Pamoja na madhaifu yote hayo na mapungufu ya kiwango cha juu ya aliyekuwa mgombea urais wa CHADEMA/ UKAWA, bado mashabiki na wanachama wa UKAWA waliamini mtu wa aina hiyo ataweza kuleta mabadiliko ya nchi. Ikiwa mtu dhoofu hivyo ataweza kuleta mabadiliko ya nchi...sidhani kama mtu strong, educated and ambitious kama Dr Tulia atashindwa kuleta uongozi bora ndani ya Bunge kwa nafasi ya unaibu spika.

Hadi hujifungue tutapata shida. Hebu kwa vile una kiherehere waambia wapiga madeal ccm kuwa Hospitali zote nchini hazina CTX kwa ajili ya watu waishio na virusi vya Ukimwi. CTX ni Muhimu kwa ajili ya Magonjwa nyemelezi. CTX ni Cotrimoxazole au Ceptrine. Jaribu kuangalia jamii yako inashida gani na uwaambie hao unaowapigia domo wafanye kazi ili waendelee kuwa madarakani. Huu ushoga unaoendelea nao hapa muda umeisha.
 
Back
Top Bottom