mtoa mada zichambue vizuri hizio mbolea ulizopost.
ukijikita kwenye virutubisho vilivyomo ktk kila mbolea, asilimia na bei.
ili tujue zinautofauti gani na urea CAN DAP NPK MAP
ukifanya hivyo watu watajaa dukani kwenu
mtoto wa kike anatumia gharama kubwa sana mpaka kuolewa. kwa mfano kibaiolojia mtoto wa kike atahitaji ela ya ziada kipindi cha kubalehe na mzazi makini lazima ataziweka hizo gharama kwenye mahari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.