Msaada kuhusu open university

Msaada kuhusu open university

OPen wametoa jana majina jina lako nani na umeomba kozi gani
Mkuu msaada please...hivi na students direct cost inajumuishwa kwenye malipo ukiachana na ada? Open university
Screenshot_20171008-221019.png
pls see attachment
 
Mkuu msaada please...hivi na students direct cost inajumuishwa kwenye malipo ukiachana na ada? Open university View attachment 605018pls see attachment
Student direct cost haijumuishwi kwenye ada hizo ni cost za mwanafunzi mwenyewe. Ikiwa kuna mtu anamfadhili huo ni mwongozo wa gharama za mwanafunzi mwenyewe
 
  • Thanks
Reactions: CMT
Student direct cost haijumuishwi kwenye ada hizo ni cost za mwanafunzi mwenyewe. Ikiwa kuna mtu anamfadhili huo ni mwongozo wa gharama za mwanafunzi mwenyewe
Kwahiyo inamana hzo cost ni lazima mwanafunz ata zi incur ktk kipind chake chote cha masomo?
 
Nimechaguliwa diploma in distance education and open learning lakini sijapata admission letter na hata tawi lililokaribu yangu wanasema haipo lakini nina reg. No msaada wako plz
 
mwenye link ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga open university of TZ kwa ngazi ya shahada ya kwanza atupie humu
 
Back
Top Bottom