Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,113
- 4,741
King mzima wewe,
Asante kwa kuniita. Mtindo wa kilimo hiki ni mzuri sana kama utakuwa umefanya vizuri soil analysis, uchaguzi sahihi wa zao sawa na soko lako, soko la uhakika na ushauri wa kitalaam. Usijenge kienyeji maana itakula kwako. Nitarudi
Mkuu tunasubiria ujuzi wako.