Recent content by samtot

  1. samtot

    JamiiForums Tanzania Tukumbushane vipindi na tamthilia maarufu za kwenye TV za kipindi hicho. Mnakumbuka wapi?

    Family matters, huyu ni Steve kama sijakosea
  2. samtot

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Vituo vya Mafuta haviuzi mafuta siku moja kabla ya bei mpya ya kila Mwezi

    Inatokea sana hata huku kwetu, inachukua hata siku 5 bila mafuta wilaya nzima
  3. samtot

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Queen seondeok
  4. samtot

    JamiiForums Tanzania Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Usione mtu anaongea peke yake ukamcheka. Subiri siku yako inakuja
  5. samtot

    JamiiForums Tanzania Bunge la Ulaya lapiga kura ya kutowaondoa wamaasai Ngorongoro

    Wanatakaje kutufanyia maamuzi, ya kwao mbona yanawashinda kusolve
  6. samtot

    JamiiForums Tanzania The Best Gospel Songs - Nyimbo Bora za Dini za Tanzania

    The sower's group
  7. samtot

    JamiiForums Tanzania Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    "Maisha ni yako, mazishi ni yetu"
  8. samtot

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Familia inahangaika namna gani watawasadia watoto wawili wa nje wa marehemu

    Na wao wana haki kushiriki maziko, ni tukio li silojirudia
  9. samtot

    JamiiForums Tanzania MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

    Ni matumizi ya mtu na utunzaji ndiyo vinaichosha pikipiki. Mizigo mizito pia inachangia
  10. samtot

    JamiiForums Tanzania MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

    Nimewahi kuendesha boxer Tanga - Dar kwa lita 5.5 - 6. Ambapo ni sawa na 60km kwa kila lita 1
  11. samtot

    JamiiForums Tanzania Utafiti: Watumiaji wa simu za Tekno huweka nyimbo za kawaida kama miito ya simu zao

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom