mimi nishafumwa sio mara moja wala mbili ila kesi huwa inapinduliwa kwamba nani alimtuma kupekua simu yangu.kabla sijamuoa nilimpa darasa juu ya simu kuvunja ndoa
jamani mimi tangu napata kujitambua hadi sasa nina miaka 29 nina hii hali ya kutetemeka..Sijawahi kupata tatizo la presha ila miaka hii miwili kazini walikuja watu wa osha katika kutupima presha upande wangu nilipimwa zaidi ya mara tatu presha ya kushuka inakua mara ilionyesha 98 ikaja kusoma...
mleta mada ndiye analeta udini mimi ni muislam ila mkuu wa wilaya alikua sahihi sana zaidi ya sana yale mazingira mimi mtu mzima siwezi kuyaishi itakuaje serikali iache watoto wapitie katika hali dhalili kama ile?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.