Recent content by SAMORE

  1. SAMORE

    Mzee Clémence Mwandambo akamatwa na Polisi kwa Tuhuma za kijinai

    bora anyee debe itakuà ahueni kwake kwamba ana uhai hawa wapuuzi wanampoteza kabsa
  2. SAMORE

    Mzee Clémence Mwandambo akamatwa na Polisi kwa Tuhuma za kijinai

    kuna sehemu niliandika huyu mzee wetu tunaweza tusivuke nae mwaka maana alikua anapiga spana sana tangu aachiwe,huenda wahuni washafanya yao Mungu
  3. SAMORE

    Nauza pikipiki Yamaha 300k

    document zote zipo?
  4. SAMORE

    Polisi yawachia kwa DHAMANA viongozi wakuu wa CHADEMA waliokamatwa akiwemo Heche

    huyu hawawezi kumuachia mapema.kitendo cha kumuachia ni sawa na kutia utambi wa moto kwenye petrol
  5. SAMORE

    Video iliyopelekea NIFFER kukamatwa

    hii challenge tiktok imefanywa na watu wengi sana aisee
  6. SAMORE

    Kuna App ya Bank yenye Usumbufu kama ya CRDB kwa sasa?

    mimi nmeacha kutumia hii bank inakaribia mwaka sasa akiba yangu naweka nmb hao wana makato makubwa aisee
  7. SAMORE

    Umeshawahi kufumaniwa Kwa sms,calls za mchepuko wako, na mwennza wako? Je ulimaliza vipi huo msala?

    mimi nishafumwa sio mara moja wala mbili ila kesi huwa inapinduliwa kwamba nani alimtuma kupekua simu yangu.kabla sijamuoa nilimpa darasa juu ya simu kuvunja ndoa
  8. SAMORE

    Unajamba mara ngapi kwa siku?

    mimi najamba kila pale kijambio kinapotaka kujamba so huwa sina time ya kuhesabu
  9. SAMORE

    Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme na kupata utajiri wa shetani

    oya ukipata connection niunge nami nshachoka na maisha baada ya dhiki faraja
  10. SAMORE

    Msaada kwa Mwalimu huyu; Mikono inatetemeka sababu ya pombe kali. Anashindwa kuweka saini na kusahihisha mitihani. Ipi tiba yake?

    jamani mimi tangu napata kujitambua hadi sasa nina miaka 29 nina hii hali ya kutetemeka..Sijawahi kupata tatizo la presha ila miaka hii miwili kazini walikuja watu wa osha katika kutupima presha upande wangu nilipimwa zaidi ya mara tatu presha ya kushuka inakua mara ilionyesha 98 ikaja kusoma...
  11. SAMORE

    Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

    mleta mada ndiye analeta udini mimi ni muislam ila mkuu wa wilaya alikua sahihi sana zaidi ya sana yale mazingira mimi mtu mzima siwezi kuyaishi itakuaje serikali iache watoto wapitie katika hali dhalili kama ile?
Back
Top Bottom