Recent content by SAMORE

  1. SAMORE

    Hii ni Breakfast ya 1500. Akili mtu wangu!

    ili mtujambie maofisini
  2. SAMORE

    Siamini kama nimepatwa na kukoroma

    kwa upande wangu tangu nilivyoongezeka kilo basi hii changamoto ya kukoroma imenipata
  3. SAMORE

    Baa zenye pisi kali aka wadangaji Dar

    u.t.i za chanika kama zote
  4. SAMORE

    Dullah Mbabe apoteza kwa pointi dhidi ya Eric Katompa, Arusha, Novemba 25, 2023, Dullah alalamikia Majaji

    hua hatukosi upumbavu katompa asipofosi ndio basi tena ila kiukwel Dulla hamuwez uyo jamaa
  5. SAMORE

    Siku hizi mabasi ya abiria yanafungwa ving’amuzi vya Azam TV

    ingia google type who is the owner of Tanzania uone kituko
  6. SAMORE

    Madanguro Dar, Serikali za mitaa mnalipwa?

    bila kusahau goms nyuma ya leo tena
  7. SAMORE

    JamiiForums Usiku wa manane

    At mbezi luis now
  8. SAMORE

    Bye bye maisha ya usingle

    bado hujasema
  9. SAMORE

    Natafuta mganga wa kienyeji konki

    nataka nipandishwe cheo kazini
  10. SAMORE

    Utapeli unaofanywa na baadhi ya "maajenti" wasio waaminifu pale Magufuli Bus Terminal ukomeshwe!

    Ukiwaita maajenti umewapa cheo kikubwa sana,wale wanaitwa masalange ukizubaa hadi mabegi wanakuibia. Kwa upande wangu naona tuzidi kupeana elimu ya kufika direct ofisini kukata tiketi na sio zaidi ya hapo. Ukiona mtu anajifanya kukuonea huruma na hakujui tambua kuwa kifuatacho ITV.
  11. SAMORE

    Nipo Afrika Kusini mwaka wa 6 huu binafsi maisha ya huku sijayaelewa

    rudi tuteseke sote nyumbani mwaisa amekua mtanesco anachezea switch muda wote
  12. SAMORE

    JamiiForums Usiku wa manane

    2:15 location Mbezi louis
  13. SAMORE

    UZUSHI Twiga waonekana Maeneo ya Ubungo, Dar es Salaam wakisafirishwa kuelekea kusikojulikana

    unaonekana mleta mada hajawahi kufika ubungo...
Back
Top Bottom