Kiongozi iyo laki 3 ukiwa nayo hapo mjini daslamu na ukaamua kufanya biashara ya mkaa kwa kumuuzia Mteja wa mwisho yaani mtumiaji, sii haba unaweza ukapiga hatua kadhaa mbele, tena zaidi ukute unafahamiana na madereva wa malory ili wakusafirishie from kijijin mfn koromije wewe uwe ni kupokea na...
Huna akili kabisa, hata uko kazini utakua ni mzigo tuu, unashukuru nn sasa, elimu yako, ada yako nchi yako alafu unakuwa na akili za kibashite, Kwann lakini?
Nakufananisha na yule Mkuu wa mkoa wa morogoro alielia kama yatima kisa kaukosa ukuu wa mkoa, mazuzu npo wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.