Ndo maana nchi haiendelei. ng'o coz wanaopewa najukumu ktk utumishi wa umma wanaingia. na uccm tii, alafu ndo anapewa kucmamia sheria duuh..! ama kweli ccm ni mambulula, Nani kasema Augustino ni MSOMI bhana? kusoma wapi? ndo angeshindwa kujiheshimu na kuuficha ukada wake?
CCM is died UKAWA ndo EK47 ambayo EDDY anaitumia kuwaulia na mm ni moja kati ya risasi muhimu zinazoiuwa CCM
OCT25. na cku hiyo ndo mwili wa CCM utaagwa rasmi
"RIP CCM "
maziwa kikombe kimoja+vijiko v3 vya asali mbichi kunywa x3 per day. pia hilo tikiti maji ucache kutafuna zile tunda zake
Heshima itarud tu kama Lowassa ndani ya CDM
very good hayo ndo maujanja ya town ukiwa boya lzm wakupige mkwanja. haya waliopigwa walikua hawajui bt leo tumeshaambiwa atakaeibiwa tena me natanguliza pole kabxaaaaaaa......!
Haina shida askari wetu Zitto kwan hwz kula mua bila kukuta kifundo,na cku zote mkweli hua hapendwi nadhan mtambua kua kuna vingozi wengi tu ambao wamehujumiwa kwa kutenda haki.ucjali Mh. Zitto wakizingua jituoe tuanzishe chama chetu tuone kama watafika popote na jeuri zao hawajui kua we ndo...
Of coz bado hajajitambua kwani hao polisi wameajiriwa na nani na wanayoyafanya wanatekeleza mri ya nani au umesahau juz tu Pinda aliwaambia watupige wanavyoweza?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.