Sammy Senior
Member
- Jun 7, 2013
- 18
- 0
Ya Kagame tuwaachie Wanyarwanda c tubaki Tz yetu pia ina majanga lukuki,
Una maanisha ulichokiandika mkuu au unatania?
huyu kagame huo uchuro kifo, hatimae inaweza kutokea kweli, hii ni ya pili baada ile ya wiki ya jana, uetu macho