Recent content by Samireal

  1. Samireal

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Umeme bado unakatikakatika tu hadi leo ndio tuseme kiuno kimekuwa na uzoefu au maji yamekauka kwa mto? Tunaomba substation Manyoni maana mbunge wetu hata halioni hilo pamoja na viongozi wake. Manyoni vijana wengi hatuna ajira kutokana na kuwa hakuna sehemu za utalii, madini yapo lkn ni hifadhi...
  2. Samireal

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Tumefulia lakini tuachane na hayo boresheni bando zenu na muache kukata salio tukichelewa kujiunga maana mkiisha kata salio huwa hamuishi sababu za uongo na huwa hamrudishi haki zetu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Samireal

    JamiiForums Tanzania NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba maelekezo jinsi ya kubadili namba ya simu ya kwenye account kupitia ATM machine ikiwezekana kwa maelekezo yaambatane na picha maana nimejaribu mara kadhaa na sikufanikiwa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Samireal

    JamiiForums Tanzania Natafuta Uzi konki

    Niliwahi kukutana na uzi matata miaka kadhaa nyuma ambao ulikuwa unahusu jinsi ya kufanya mapenzi ndotoni lakini nimejaribu kuutafuta uzi huo tena na sijafanikiwa kuupata. Kusema kweli nilijaribu kufuata maelekezo yake usiku mmoja na nilijikuta kama vile nafanya mapenzi real kabisa hadi...
  5. Samireal

    JamiiForums Tanzania Je ntulantu ni dawa?

    Nimewahi kusikia kuwa ntulantu ni dawa japo sina uhakika, naomba kufahamu kama kweli ni dawa na kama ni dawa je inatibu ugonjwa gani/kitu gani na matumizi yake yapoje? Siifahamu kwa jina lingine.
  6. Samireal

    JamiiForums Tanzania Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Shukran Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  7. Samireal

    JamiiForums Tanzania Najuta kuoa

    Excellent
  8. Samireal

    JamiiForums Tanzania Najuta kuoa

    Bora uolewe tu mkuu[emoji855]
  9. Samireal

    JamiiForums Tanzania Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Shikamoo mkuu, naomba kufahamu tiba ya pearly penile papules pamoja na bawasiri na pia sikio langu huwa nalihisi kama lina maji na huwa linawasha kiasi pamoja na kuziba kwa muda mrefu lakini kila hospital nilioenda nimeambiwa sina tatizo nikapiga na bomba hadi nikawa nazisikia hatua zangu kama...
  10. Samireal

    JamiiForums Tanzania Nina tatizo la nyonga kuvuta (kucheza)

    Kuna wakati nilikuwa napata maumivu makali kwenye nyonga za ndani au naweza kusema nyonga za mbele wakati nikiwa nafanya mazoezi ya kukimbia na nilikuwa nahisi kama vile kitu kinavuta (kinacheza/kudunda) upande wa kushoto chini ya tumbo kwenye maungio ya mguu sometimes nilikuwa nahisi maumivu...
  11. Samireal

    JamiiForums Tanzania Ni ngumu kutuelewa

    Kweli sikatai
  12. Samireal

    JamiiForums Tanzania Ni ngumu kutuelewa

    Nyie sometimes hata mkiwa mmechoka tu ni mwendo wa kugombana na kununiana na hata wivu huwapelekea kutununia ama msipotimiziwa au kuruhusiwa mambo yenu pia mnanuna, binafsi nawafahamu kiasi.
  13. Samireal

    JamiiForums Tanzania Umeme wakatika sehemu kubwa iliyo kwenye Gridi ya Taifa - Juni 06, 2019

    Singida umeenda kwao
Back
Top Bottom