Recent content by Samia atosha tukutane2030

  1. Samia atosha tukutane2030

    Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia

    Wewe Bashite Bashite bashite Bashite Muogope Mungu
  2. Samia atosha tukutane2030

    Unajiona kabisa una sura mbaya yet unaenda kuzaa na mtu mwenye sura kama yako. Watoto wako watateseka sana kupata kazi na wenzi

    Binti wako mwenye degree ya business administration mwenye sura ngumu mpeleke ATCL mwombee internship uone namna sura ilivyo muhimu kwenye jambo lolote. Atachukuliwa mwenye short course ya wiki 2 na mwanao kuachwa kwasababu ya sura. Hakuna mtu asiye na akili au asiyejua kufanya kazi. Soldiers...
  3. Samia atosha tukutane2030

    Maisha yako yote hakikisha haukosi watu hawa

    Maisha hayana kanuni. Ukiwa na pesa hao watu wote watakufuata au watapatikana hata saa 8 usiku ukiwahitaji tu. Kama huna pesa kazi yako itakuwa kujaza namba za watu tu mara Dakota Moi, Dokta Muhimbili, Police Kata, police Dodoma, mara mwanasheria, na siku ukiwapigia hawakujui maana hawakuwazii...
  4. Samia atosha tukutane2030

    Viongozi walioshindwa kuweka sera nzuri wanaishi kwa mihemko na miluzi kama mbwa

    kama mtu kavunja katiba ni jukumu la polisi na vyombo vingine vya Dola kushughulikia na si wizara. Wizara kazi yake ni kuweka ustawi endelevu na si kufanya kazi za zimamoto za kuparamia mambo
  5. Samia atosha tukutane2030

    Viongozi walioshindwa kuweka sera nzuri wanaishi kwa mihemko na miluzi kama mbwa

    Kuna kiongozi mmoja naye pia ni member humu Jamiiforums. Watu walimwona kama kiongozi makini tangu awamu iliyopita na sasa pia. Mimi nakwenda naye kinyume, hafai. Kiongozi yeyote anayesubiri aone nini kinatembea kwenye mitandao ndipo afanye kazi yake namfananisha na mtoto mdogo ambaye hajui la...
  6. Samia atosha tukutane2030

    Utani lakini kuna kaukweli: Usipomkula vizuri, lazima akuue

    Usipomfanya vizuri mpaka kiuno kikateguka na utando ukatoka lazima awe na kinyongo. Lazima aishi kwenye wimbi la hasira. Kuna wanaume wamejisahau, wanadhani wakimpa mimba mwanamke ndiyo wamemfikisha mlima Kilimanjaro. Unaweza kuzaa watoto 10 yet ndani ya miaka 20 ya ndoa yenu ikawa umemfikisha...
  7. Samia atosha tukutane2030

    Unajiona kabisa una sura mbaya yet unaenda kuzaa na mtu mwenye sura kama yako. Watoto wako watateseka sana kupata kazi na wenzi

    Wewe ukiwa na kampuni yako ya sales unaweza kuajiri mtu mwenye sura mbaya huku mwenye sura nzuri yupo ? Kumbuka wote wana vyeti na hujawahi kuwaona walifanya kazi
  8. Samia atosha tukutane2030

    Unajiona kabisa una sura mbaya yet unaenda kuzaa na mtu mwenye sura kama yako. Watoto wako watateseka sana kupata kazi na wenzi

    wewe mpuuzi tangu nchi hii ipate Uhuru ni Rais Kikwete ndiye aliyewatoa Watanganyika kwenye ufukara totoro. Nyie wajinga hamna akili. Dar es salaam hii imejengwa wakati wa Kikwete na wakati wa Magufuli ikasimama maisha ya wananchi yakasimama only flyover ndo zilijengwa. Kaja Samia ndo wananchi...
  9. Samia atosha tukutane2030

    Unajiona kabisa una sura mbaya yet unaenda kuzaa na mtu mwenye sura kama yako. Watoto wako watateseka sana kupata kazi na wenzi

    Hakuna mtu mwenye pesa zake, elimu yake au resources zake atakubali kuoa mke au kuolewa na mume mwenye sura mbaya. Siku hizi wasomi wapo kila kaya, ili utoboe kupata kazi ya maana lazima connection au reception/ sura nzuri maana kazi zile za mabavu sasa haziko nyingi na kama zipo hazina...
  10. Samia atosha tukutane2030

    Watanzania wengi hawana akili timamu, Majaliwa wanayemshangilia leo wanadhani hayuko ndani ya mfumo

    Tafakari kisha chukua hatua. Mada hii nimeileta ili kuwacheka wapinzani wanaomshangilia Kasimu Majaliwa wakijifariji kuwa Majaliwa kajitenga na CCM ya mafefhuli .. Majaliwa yupo CCM mpaka umauti wake, na kukiwa na ulazima anaweza kuwachezea mchezo ule mliochezewa na Lowasa kwakuwa akili zenu ni...
Back
Top Bottom