Binti wako mwenye degree ya business administration mwenye sura ngumu mpeleke ATCL mwombee internship uone namna sura ilivyo muhimu kwenye jambo lolote.
Atachukuliwa mwenye short course ya wiki 2 na mwanao kuachwa kwasababu ya sura.
Hakuna mtu asiye na akili au asiyejua kufanya kazi.
Soldiers...
Maisha hayana kanuni.
Ukiwa na pesa hao watu wote watakufuata au watapatikana hata saa 8 usiku ukiwahitaji tu.
Kama huna pesa kazi yako itakuwa kujaza namba za watu tu mara Dakota Moi, Dokta Muhimbili, Police Kata, police Dodoma, mara mwanasheria, na siku ukiwapigia hawakujui maana hawakuwazii...
kama mtu kavunja katiba ni jukumu la polisi na vyombo vingine vya Dola kushughulikia na si wizara. Wizara kazi yake ni kuweka ustawi endelevu na si kufanya kazi za zimamoto za kuparamia mambo
Kuna kiongozi mmoja naye pia ni member humu Jamiiforums. Watu walimwona kama kiongozi makini tangu awamu iliyopita na sasa pia.
Mimi nakwenda naye kinyume, hafai. Kiongozi yeyote anayesubiri aone nini kinatembea kwenye mitandao ndipo afanye kazi yake namfananisha na mtoto mdogo ambaye hajui la...
Usipomfanya vizuri mpaka kiuno kikateguka na utando ukatoka lazima awe na kinyongo.
Lazima aishi kwenye wimbi la hasira.
Kuna wanaume wamejisahau, wanadhani wakimpa mimba mwanamke ndiyo wamemfikisha mlima Kilimanjaro.
Unaweza kuzaa watoto 10 yet ndani ya miaka 20 ya ndoa yenu ikawa umemfikisha...
Wewe ukiwa na kampuni yako ya sales unaweza kuajiri mtu mwenye sura mbaya huku mwenye sura nzuri yupo ?
Kumbuka wote wana vyeti na hujawahi kuwaona walifanya kazi
wewe mpuuzi tangu nchi hii ipate Uhuru ni Rais Kikwete ndiye aliyewatoa Watanganyika kwenye ufukara totoro.
Nyie wajinga hamna akili.
Dar es salaam hii imejengwa wakati wa Kikwete na wakati wa Magufuli ikasimama maisha ya wananchi yakasimama only flyover ndo zilijengwa. Kaja Samia ndo wananchi...
Hakuna mtu mwenye pesa zake, elimu yake au resources zake atakubali kuoa mke au kuolewa na mume mwenye sura mbaya.
Siku hizi wasomi wapo kila kaya, ili utoboe kupata kazi ya maana lazima connection au reception/ sura nzuri maana kazi zile za mabavu sasa haziko nyingi na kama zipo hazina...
Tafakari kisha chukua hatua.
Mada hii nimeileta ili kuwacheka wapinzani wanaomshangilia Kasimu Majaliwa wakijifariji kuwa Majaliwa kajitenga na CCM ya mafefhuli ..
Majaliwa yupo CCM mpaka umauti wake, na kukiwa na ulazima anaweza kuwachezea mchezo ule mliochezewa na Lowasa kwakuwa akili zenu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.