unawazo zuri sana la kuingia kwenye kilimo, kilimo kitakachokutoa haraka sana ni kilimo cha mboga mboga kama nyanya, vitunguu, karoti, na pilipili hoho, mazao haya yanawateja wengi sana na yananunurika na makundi yote namaansha kuwa walio nacho na wasionacho, mimi nina diploma ya kilimo...
jamani roho imeniuma kweli unataka wazazi wakushukuru kwa lipi mkuu! wadogo zako nao wakushukuru kwa lipi jamani!! yaani roho imeniuma kweli, mtu akiwasema vibaya wazazi wake mimi roho huwa inauma kweli, lakini hii ndio dunia
nyanda za juu kusini unamanisha mikoa kama mbeya sio, njoo uone watu wanavyompenda lowassa mimi hapa nipo isongole ileje mpakani mwa tz na malawi huku kila mtu lowassaaaaaa
mke anatoka nyumbani anaenda kazini kushikwa wowowo!! halafu anarudi jioni kachoka unamwambia pole mke wangu kwa kazi unaonekana umechoka sana anakujibu asante mme wangu kumbe kachoka kwa kupigwa wowowo!! wewe ukimgusa anakuwa mkali kisa wowowo zimeuma kwa kupigwa na jamaa jingine!! pole sana...
by samadali
pole kwa majukumu mheshimiwa, mimi ni kijana nimemaliza diploma ya kilimo na mifugo, tatizo langu mheshimiwa sina ajira maisha ni magumu sana naomba unisaidie nipate ajira namba yangu ni 07699192358 Mungu akubariki.
by samadali
kaka, mimi naomba unisaidie ili nipate ajira, nina diploma ya kilimo na mifigo, nipo tayari kufanya kazi katika mazingira yoyote, naomba msaada wako kaka mamba yangu ya simu ni 0769192358 Mungu akubariki.
mkuu, kuna soko la kijiji cha bupandwa wilaya ya sengerema mkoa wa mwanza limeanzishwa miaka ya 74 mpaka sasa hakuna choo au bafu watu wanajisaidia ovyo kila wanapoona panafaa, ushuru wa soko unakusanywa kama kawaida, viongozi wote wapo wanaangalia tu na maisha yanaendelea, wanasubiri watu wafe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.