Habari wakuu? Poleni kwa majukumu ya ujenzi wataifa.
Natafuta mshirika (partner) ambaye tutaweza tukafungua kituo cha kufundisha tuition, QT, resitters, english course pamoja na computer. Mimi nimefundisha vituo tofauti tofauti kwa muda mrefu nimeona muda sasa umefika nami nijisimamie.
Masomo...
Haya ndio maneno. Ukikata tamaa ama ukisema haiwezkani bhas inabaki hivyo hivyo.
Mm nimeshahangaika sana kutafuta maisha ingawa sijafka napotaka lakini nimekuwa stronger, brighter and better.
Big up brother hatuna namna zaidi ya kukomaa.
Tuko pamoja
Mkuu... hauko peke yako. Wapo vijana wengi tu wana hiyo hali na wengine wamekata tamaa na kujiingiza kwenye tabia hatarishi ama wengine kujidhuru.
Shukuru MUNGU kwa kuwa una akili timamu mpaka umeona hiyo hali siyo ya kawaida. Mimi kuna mtu namfahamu tangu ana 2011 anajitahidi kutoboa lakini...
Duuuh pole sana mkuu ila ninapata mashaka kuwa kabla hiyo ndoa haijafungwa kuna mambo hayakuwa tayari... sijui its just my intuition ila kwa maelezo yako naona kuna mambo hayakuwa yamekaa sawa upande wa bond baina yako na huyo mwanamke. Me sikuwepo ila I have strong doubt... pole mkuu cha msingi...
Hello wa JF
Mimi ni mkaka nina miaka 33, nina elimu ya chuo nimemaliza 2011, nimejiajiri nipo Dar.
Lengo la kuja hapa ni kuweka bayana kuwa nahitaji niwe na mahusiano na mwanamke aliyepevuka (kifupi aliyenizidi umri).
Naamini wapo wanawake ambao wanahitaji mtu wa kuwasikiliza, kuwabembeleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.