Hahahahaha!mkuu kwahiyo wee unafikiri mwigulu mamlaka yake yapo polisi na Magereza tu!?au labda unafikiri nani ni waziri gani mwenye mamlaka ya Ofisi zinazotoa passport?
Me kwahili naomba tumuunge rais mkono ili tuokoe tulichoibiwa kwanza mengne hayo tutakutana majukwaani ila sasa tupganie hili pamoja kuomba vyombo vinavyohusika kuwashugulikia hao waliotajwa kweli kweli isiwe tena changa la macho
Kiukweli toka uvunguni mwa Moyo wngu leo ndo nmemuelewa rais wetu magufuri ukiacha kipindi akiwa waziri wa ujenzi,mungu akutangulie rais wngu na ntakuombea cku zte
Polisi anafundishwa kuishi na RAIA kwa kutumia akili na umakini xna ila wana jeshi wao wanafundishwa kuishi porini kama wanyama sasa ni vigumu xna kuwalinganisha cz kila MTU Ana majukumu yake,but polisi ni rahisi kuelewa hiyo akili ya babu yako but mwanajeshi sio rahisi kuelewa babu yako anawaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.