Muda mwingi wapo kwenye kampeni za ccm malipo zero hizo movie nzuri wataanda saa ngapi hadi Mimi nikae chini niangalie bongo movies kazi kukalia ufusika na umalaya tu
Ni kweli mkuu maana ni ajabu unakuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa/wilaya huku hujui smg ina machaguo mangapi ya kupiga[emoji9] [emoji9] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Hapo ili waweze vizuri wampeleke halima mdee na akina wenje na masha cz halima Jana c kawatibua kwahiyo lazima wampige chini halima halafu washikaji wte wapete
Mimi ili kukata vilimilimi vya watu ni ngeonyesha vyeti vyenye jina lngu ili niwathibitishie kuwa jina nalotumia na vyeti sio vyangu,Hahahahaha bashiteeeeeeee3ee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.