Recent content by sam magesa

  1. S

    Msajili awaita Lipumba na Seif

    Anamwiita maalim aende kama nani?
  2. S

    CUF ya Lipumba wakiri kutuma watu kwenda katika Mkutano Vina Hotel

    Kwann walianza kuwashambulia watu na kupiga watu
  3. S

    Machinga wapinga agizo la RC Dar kuzuia uuzwaji wa Filamu za nje ya nchi, Waandamana

    Muda mwingi wapo kwenye kampeni za ccm malipo zero hizo movie nzuri wataanda saa ngapi hadi Mimi nikae chini niangalie bongo movies kazi kukalia ufusika na umalaya tu
  4. S

    Ipo haja Mkuu wa Mkoa na Wakuu wa Wilaya wa Pwani wawe wanajeshi

    Ni kweli mkuu maana ni ajabu unakuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa/wilaya huku hujui smg ina machaguo mangapi ya kupiga[emoji9] [emoji9] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
  5. S

    Roma Mkatoliki usiposema ukweli kesho, wakatoliki halisi tutausema Jumanne

    Povuuu la nn sasa!!!au weee inakuhusu nn yeye akiandika hivyo au unataka kumpangia cha kusema
  6. S

    CHADEMA ongezeni Peter Kibatala na John Mallya tusipigwe bao EAC

    Hapo ili waweze vizuri wampeleke halima mdee na akina wenje na masha cz halima Jana c kawatibua kwahiyo lazima wampige chini halima halafu washikaji wte wapete
  7. S

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Unamshauri afanye nini?

    Mimi ili kukata vilimilimi vya watu ni ngeonyesha vyeti vyenye jina lngu ili niwathibitishie kuwa jina nalotumia na vyeti sio vyangu,Hahahahaha bashiteeeeeeee3ee
  8. S

    Dkt. Magufuli akubali yaishe maisha yaendelee

    Anaetucheleweshea maendeleo ni jecha salum jecha baada ya kufuta matokea ya uchaguzi zanzibar
  9. S

    Maadui wa Paul Makonda watofautiana

    Tunataka vyeti vya bashiteeeeeeee
Back
Top Bottom