DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,628
Wanaukumbi,
Kama shida ni uchache wa wagombea wa CHADEMA, kwa kuwa sioni ushindani wa wabunge walioteuliwa napendekeza majina tajwa hapo juu yaongezwe.
Ni maoni tu
N.B
Wabunge wa ccm wameweka itikadi mbele kuliko utaifa...ndani yao sikutegemea wamchague Kimbisa wamuache Macha aliyejieleza vizuri
Tegemeo la watanzania kwa sasa no watu wawili toka Chadema,baada ya saba waliochaguliwa kuonekana bado sana.
Kama shida ni uchache wa wagombea wa CHADEMA, kwa kuwa sioni ushindani wa wabunge walioteuliwa napendekeza majina tajwa hapo juu yaongezwe.
Ni maoni tu
N.B
Wabunge wa ccm wameweka itikadi mbele kuliko utaifa...ndani yao sikutegemea wamchague Kimbisa wamuache Macha aliyejieleza vizuri
Tegemeo la watanzania kwa sasa no watu wawili toka Chadema,baada ya saba waliochaguliwa kuonekana bado sana.