Recent content by Salyungumifa

  1. S

    Mwanachuo ahukumiwa miaka 30 jela kwa ulawiti

    Mazingira yanaonesha hako katoto kalifanya hivyo kwa hiari ndo maana miguno ilikuwa ya mahaba badala ya kelele za kuomba msaada. Tena kalitafuta chumba bila shurti. Nadhani wangefungwa wote kwa kukubaliana kuvunja Sheria.
  2. S

    Kama na wewe unajiamini, weka mkeo/mchepuko wako hapa

    Mkandarasi wa kubadili rangi ya ngozi anaendele. Baada ya miezi nane atakuwa tayari.
  3. S

    Nimepatikana kwa kahaba

    Refusha muda wa uchumba km miaka 4 hivi utapata jibu sahihi
  4. S

    Rais Magufuli kuomba kujengewa msikiti na uwanja wa mpira wakati Kagera watu hawana makazi

    Kumbukeni mfalme ni ostadhi, kumwomba msikiti ni kumsocialize tu ajue kuwa hatuna ubaguzi. Muhimu ni uwanja. Hongera jpm kwa saikolojia uliyotumia.
  5. S

    Kontena zinavyobadilishwa na kuwa makazi Kenya

    Hizi zinafaa maeneo yenye matetemeko ya Ardhi.
  6. S

    Natambulisha Live Online Tv kwenu

    Hongera. App inafanya kazi vizuri. Kamilisha maboresho tu, itafanikiwa sana hii App
  7. S

    Huyu mdudu mnamwitaje kikwenu (kilugha)?

    Libumisi- kwa kihehe
  8. S

    Hawa ndio Manabii na Mitume matapeli, tumechoka kuwavumilia sasa

    Mkuu unaujasiri sana. Gombea ubunge utatusaidia kuibua madudu ya serikali.
  9. S

    CHADEMA watangaza kuanza operesheni ''Umoja wa Kupambana na Udikteta Tanzania" (UKUTA)

    Wananchi tumehamasika kufanya kazi ili tujitegemee kama serikali inavyosisitiza. Nyie mnaotarajia kupata riziki kupitia CHADEMA fanyeni hiyo mikutano. Sisi hasa mie sishiriki mpaka 2020 maana hizi ni porojo poteza muda tu. Eti Kuzira ni sawa na kufukuzwa acheni bhana,
  10. S

    Mh. Magufuli: Msema kweli ni mpenzi wa Mungu

    Watanzania ifike mahali tuache kuegemea upande hasi katika maamuzi ya serikali. Hata katika familia kama watoto wanapinga kila kazi anayofanya mzazi, maendeleo hayatapatikana. Tumwachie miaka yake mitano; tusijichanganye wala tusimkatishe tamaa.
Back
Top Bottom