me napenda kuipendezesha blog yangu (blogger) kwa kuweka habari pamoja na picha lakin cpajui kufanya hivyo na weza kuweka post tupu bila ya picha so nawaombeni msaada wakuu nifanye nini niweze kuweka post pamoja na picha?
nahitaji kuipendezesha na mimi blog yangu kwa kuweka picha tofauti kama kivutio kwa watembeleaji na kuweka habari pamoja na picha yake unaweza kuniambia mkuu nifanyeje plz nahitaji kupata ushauri wako na kusikia MAWAZO yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.