Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,905
- 28,067
i beg to differ.. utakuwa na uhuru wa kuchagua mbunye uitakayo kwa muda unaotaka.
Ahsante..
i beg to differ.. utakuwa na uhuru wa kuchagua mbunye uitakayo kwa muda unaotaka.
Namba 1 naona kama ipo vice versa...
Namba 1 naona kama ipo vice versa...
i beg to differ.. utakuwa na uhuru wa kuchagua mbunye uitakayo kwa muda unaotaka.
Na hasara nazo?
Mfadhaiko wa akili na magonjwa ya moyo kwa kukosa nonino...Please refer to Dr MziziMkavu's thread which was posted few days ago.
Matter of choice
Ile dawa ni kwa wanandoa tu....usimfundishe balaa mwari wangu lol
Mwari kigego loh :behindsofa:wasn´t me!!Ile dawa ni kwa wanandoa tu....usimfundishe balaa mwari wangu lol
Mwari kigego loh :behindsofa:wasn´t me!!
Tungepata na list ya hasara iwe rahisi kufanya comparison..
FAIDA 10 ZA KUISHI BILA MPENZI
1:Unalala vizuri
2:Hujali unavyoonekana
3:Hakuna sms usiku wa manane
4:Unaweza kuongea na yeyote
5:Utaishi maisha marefu bila kubughudhiwa na
mtu
6:Utaepukana na fitina za watu
7:Utaepukana na ugomvi usio wa lazima
8:Hutakuwa mwenye kudanganyana
9:Utatulia kimawazo
10:Utajihisi uko huru kwa maamuzi yako .JARIBU
UONE.!
na kwenye kuchagua huwezi chagua kibaya lol.
Mh.. miss strong! Dushe for u is a must.. teh!
Kibaya chako kizur cha mwenzio