Sample ya barua ya talaka

Sample ya barua ya talaka

Hahaha kumbe talaka ina signature kama cheti cha ndoa khaa. Ila kweli sijawahi ona talaka na ujanja wote huu.
Andika talaka.
Nenda stationary ukatoe copy ziwe tatu, hapo utakua umemaliza mchezo, na hizo ndio talaka 3.

Matumizi yake ni kua moja atasaini na kukuachia wewe, moja ya kwake na ya mwisho atawapa wazazi/walezi wake.
 
Hahaha kumbe talaka ina signature kama cheti cha ndoa khaa. Ila kweli sijawahi ona talaka na ujanja wote huu.
Anasaini "receiver" kama "acknowledgement" ili asije kukataa huko mbele ya safari kua hakupewa!!
 
Talaka ya1: nakuonya mke/mume wangu una nafasi moja bado ya kujirekebisha kaa kwa wazazi wako kwa mwezi mmoja na nitakuja kukuchukua.

Talaka2: nilikupa onyo la kwanza tarehe, lakini umefanya tena nenda kwa wazazi wako kwa miezi 3 nadhani utakuwa umejirekebisha nitakuja kukuchukua.

Talaka 3: kama walivyosema wehenga "kunguru afugiki" sasa naona wewe umekuwa kunguru siwezi kukufuga ukiona sehemu nipo pita mbali watoto wangu nitawatafutia mama mdogo wa kuwalea. Usinitafute tena mbuzi wa mjini wewe unakula hadi mifuko ya rambo mchachu kama ndimu iloyochacha. Mwili unamakovu utafikiria batiki ya Kichina.
Vipi miss chagga ndoa yako ilinusurika?
 
Last edited by a moderator:
Mpaka leo bado hujaandika hiyo talaka tu?
 
Talaka huwa hivi. Kuanzia Leo wewe c mke wangu. Hiyo ni moja au nimekuacha nayo ni talaka moja. Au unajuwa wewe ni kama mama yangu nayo ni talaka. Hakuna Talaka tatu kwa mara moja

nakukubali au nawewe umeshawahi KUACHAAAAAAA!
 
Mbona hatari hii.... Kumbe ndio maana siku hizi supu ya mbuzi hata sio nzuri kumbe wanakula mifuko ya rambo... Na maboksi ya juisi za bakhresa..... Alaaaaaaah
ndiyo ujue ukienda bar uwe unauliza huyu mbuzi wa ndani au wa nje? kama wa nje ujue ladha yake ni mbaya
 
Kitu talaka ya tatu hii. Kuanzia leo tarehe 07/11/2013 mimi kwamtoro Sudi Masudi nakuacha happiness win kwa kosa la kukukamata ugoni na kb52
Mashadi wangu wa tukio la ugoni ni Jewel shinjikazola na Ziltan
Ukitoka njee ya mlango wa nyumba hii toka leo, atakaye penda kukuoa upo sahihi kumkubali kwa sababu wewe auna mume.

Hii ndiyo sample sahihi nadhani. mkuu uko deep, kama vile unauzoefu wa kutoa haya makitu. Huwa hainaga signature mwishoni?
 
Talaka ya1: nakuonya mke/mume wangu una nafasi moja bado ya kujirekebisha kaa kwa wazazi wako kwa mwezi mmoja na nitakuja kukuchukua.

Talaka2: nilikupa onyo la kwanza tarehe, lakini umefanya tena nenda kwa wazazi wako kwa miezi 3 nadhani utakuwa umejirekebisha nitakuja kukuchukua.

Talaka 3: kama walivyosema wehenga "kunguru afugiki" sasa naona wewe umekuwa kunguru siwezi kukufuga ukiona sehemu nipo pita mbali watoto wangu nitawatafutia mama mdogo wa kuwalea. Usinitafute tena mbuzi wa mjini wewe unakula hadi mifuko ya rambo mchachu kama ndimu iloyochacha. Mwili unamakovu utafikiria batiki ya Kichina.
.

JF kazi kweli kweli
 
Wasiliana na Membe, huenda akawa ameisha ipata ile ya EAC na akupe copy ukadese.
 
Back
Top Bottom