Whatever u do in life just do for ur own benefit na sio eti kwaajil ya flan binadam hawatabiriki kila siku anataman kitu tofauti,leo atataman awe na mtu mjanja kidogo bt kesho ataona haa hyu nae kazid ujanja atataman awe na mpole aka mlokole bt baadae ataona nae huyu mlokole sana nataka wa vile
Nilikuwa naomba kila siku kipindi hapatikani nikijua labda kapatwa na matatizo ,nashtuka ucku wa manane namuombea kumbe looh kabadilisha namba ya cm anaishi na mwanamke mwingine
Mimi ni msichana nilitokea kumpenda kijana mmoja sana kiasi ambacho sikuwahi kuhis kama naweza kuishi bila yeye but yamenikuta,kuanzia valentine asubuhi alinitumia sms ananipenda sana ila anaondoka anaenda huko vijijini kuna project anafanya since that day hajapatikana mpaka leo,nikaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.