Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,138
Mm ni mschana nilitokea kumpenda kijana mmoja sana kias ambacho ckuwah kuhis km naweza kuish bila yy bt yamenikuta,kuanzia valentine asubuh alinitumia sms ananipenda sana ila anaondoka anaenda huko vijijin kuna project anafanya since that day hajapatikana mpaka leo,nikaona nimuuliZe rafik yake ananiambia mbona kabadilisha namba na hataki nimpe mtu,nimelia usiku mzima cjalala naumia jaman hata nashindwa kufanya kaz
Tangu valentine's day mpaka leo uko hai ujue maisha bila yeye yanawezekana,ishi maisha yako mamy na wala usijisumbue kuitafuta hiyo namba mpya.
Kuna siku isiyo jina atakuja tu ajifanye amemaliza project za huko vijijini hapo ndio uhakikishe unampa za uso na mkono wa kwa heri juu!!
Likuepukalo una heri nalo