kila unapotaka kulia tena kwa ajili yake fikiria kwamba unazd kumpa jeuri kwa kukuacha(unampa kichwa), we ni mwanamke jasiri hukumtegemea yeye apo kabla na mthibitishie kama ata sasa haumuhtaj kiivyo... mfanye ajutie kukuacha!! Fanikiwa zaidi
haha.. wanasema if he cheats on u date his father and make the MAFAKA your son.
Mimi ni msichana nilitokea kumpenda kijana mmoja sana kiasi ambacho sikuwahi kuhis kama naweza kuishi bila yeye but yamenikuta,kuanzia valentine asubuhi alinitumia sms ananipenda sana ila anaondoka anaenda huko vijijini kuna project anafanya since that day hajapatikana mpaka leo,nikaona nimuulize rafiki yake ananiambia mbona kabadilisha namba na hataki nimpe mtu,nimelia usiku mzima sijalala naumia jamani hata nashindwa kufanya kazi
Heeee achana nae tena tafuta mwanaume anaemzidi kila kitu umkomeshe na umringie,tena we ndio ujifanye haumjui kabisaaa
missed uuuuu shostito,am back
Binti ukilia hujasolve tatizo kwa kumtumia rafiki yake utajua hatma yoko.
afu kwan huyo mwanaume anatatizo la kutojiamin hv hawez kuachana na mwanamke kiroho safi tu?? nadhan angekwambia ukwel kubadilisha no, sio sln
Wewe sio wa kwanza, sio wa mwisho pia.
tafuta kitu cha maama cha kuombolezea.
Hapo umetendwa nini sasa.....
Kuachwa ni kutendwa?
Maisha yasonge....alifanya sahihi kukuacha....badala ya kuendelea kukudanganya
Hili ndilo kosa nambari moja wafanyalo baadhi ya wanawake wawapo kwenye mahaba...hukabidhi mioyo yao kwa wanaume.
Amka kutoka katika usingizi uliolala eeh binti
Mimi ni msichana nilitokea kumpenda kijana mmoja sana kiasi ambacho sikuwahi kuhis kama naweza kuishi bila yeye but yamenikuta,kuanzia valentine asubuhi alinitumia sms ananipenda sana ila anaondoka anaenda huko vijijini kuna project anafanya since that day hajapatikana mpaka leo,nikaona nimuulize rafiki yake ananiambia mbona kabadilisha namba na hataki nimpe mtu,nimelia usiku mzima sijalala naumia jamani hata nashindwa kufanya kazi