jnrs
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 505
- 236
Karibu
Umeona eh!
Karibu
Mimi ni msichana nilitokea kumpenda kijana mmoja sana kiasi ambacho sikuwahi kuhis kama naweza kuishi bila yeye but yamenikuta,kuanzia valentine asubuhi alinitumia sms ananipenda sana ila anaondoka anaenda huko vijijini kuna project anafanya since that day hajapatikana mpaka leo,nikaona nimuulize rafiki yake ananiambia mbona kabadilisha namba na hataki nimpe mtu,nimelia usiku mzima sijalala naumia jamani hata nashindwa kufanya kazi
diva anasemaga if a ur man cheat u,take his friend
I just find out he was dating three girls at per and I never suspected that coz kila cku naongea nae,it is shocking