Pole sana mkuu. Miaka ya 2007 nilimnunulia ndugu wa mbali gari ili aitumie kama taxi lengo kuu ni kuisaidia familia ya kwao maana walikuwa na hali ya chini sana kiuchumi. Tulikubaliana kiasi fulani kiwekwe bank kwa ajili ya running costs kama insurance n.k. alifanya kwa miezi tu baadae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.