Teni.Kwani Mongo mmoja ni sawa na miaka mingapi?
Mbona utakuwa miaka kumi na moja na sie tunajua mungo mmoja ni sawa na miaka kumi tu.Leo 01.01.2020, tunaanza Muongo mpya wa Mafanikio.
Kila la Heri Tanzania yetu!
Muongo wa MARIDHIANOLeo 01.01.2020, tunaanza Muongo mpya wa Mafanikio.
Kila la Heri Tanzania yetu!
Muongo mmoja ni miaka kumi. Huu ni muongo wa pili wa karne hii ya 21. Muongo wa kwanza ulianza mwaka 2000 na kuishia 2009, wa pili 2010 hadi 2019 na huu wa tatu unaanza leo hadi 2029. Karne ni miaka 100. Sasa tupo karne ya 21 ambayo ilianza mwaka 2000 hadi 2099. Nawasilisha.Mbona utakuwa miaka kumi na moja na sie tunajua mungo mmoja ni sawa na miaka kumi tu.
Leo 01.01.2020, tunaanza Muongo mpya wa Mafanikio.
Kila la Heri Tanzania yetu!
Mbona utakuwa miaka kumi na moja na sie tunajua mungo mmoja ni sawa na miaka kumi tu.
Kwa namna hii unakuwa na malengo yanayotimizika.Plan za miaka 10 ni nzuri sana
Kama unajiwekea akiba waza kwa miaka kenda na sio mwaka mmoja mmoja
Ila kwenye siasa simo nataka kustaafu in ten years time na huu ndio mda kama Mungu atanijaalia
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ni kweli. Ndiyo maana pia tulipoingia mwaka 2000 tulianza karne ya 21 (2000-2099) na pia tukianza millenium mpya ya 3 (2000-2999).Muongo mmoja ni miaka kumi. Huu ni muongo wa pili wa karne hii ya 21. Muongo wa kwanza ulianza mwaka 2000 na kuishia 2009, wa pili 2010 hadi 2019 na huu wa tatu unaanza leo hadi 2029. Karne ni miaka 100. Sasa tupo karne ya 21 ambayo ilianza mwaka 2000 hadi 2099. Nawasilisha.