Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,727
- 3,139
Unachoweza wewe, mwenzio hashindwi kikubwa ni kuwezeshwa vifaa tu.Wee unataka tanzania ipate maafa yasiosahaulika hawa wakienda huko nje labda wakawe security wa kawaida tena wasiopewa silaha
5/5
Unachoweza wewe, mwenzio hashindwi kikubwa ni kuwezeshwa vifaa tu.Wee unataka tanzania ipate maafa yasiosahaulika hawa wakienda huko nje labda wakawe security wa kawaida tena wasiopewa silaha
Halafu wanaolaumu kila kitu hawa wakivamiwa na vipanya road wanageuka kuwa wanawakeUnazingua,
Unataka wasioneshe uwepo wao kisha wahalifu wapate moyo wa kufanya uhalifu uje uwalaumu humu mitandaoni Polisi hawafanyi kazi yao.
Kwani wakivaa hayo mavazi, wakaandamana wenyewe kama hivyo walivyofanya bila kumvamia raia mwema wewe wanakudhuru nini?
Sio kila kitu unakimbilia kulaumu. Ni bora wawatishe wahalifu waogope kujaribu uhalifu kuliko wanyamaze wasubiri kuzima tukio na silaha huku hao wahalifu wakiishia jela au mortuary. Kwa kufanya kitisho wame waokoa watu na mali zao.
Watapigwa wachakaeSafi na dar wafanye hivyo
Hahahahahahaahahahahaha, heri ya mwaka mpya mkuu hapo umemaliza kila kitu..Mbwbwe zote hizo ila akitokea msomali na ak47 watapoteana wote hao
Ndo nyie yakitokea matukio mnaanza kulalamika polisi walikuwa wapiNchi ikikosa vita haya ndio matatizo yatayojitokeza, wanatafuta pakuvalia hayo manguo hawapapati, wanatafuta pakurushia hayo mabomu hawapapati, matokeo yake watayarusha kwa wananchi wanaoshangilia mwaka mpya!.
Wapelekeni huko nchi za watu wakatulize ghasia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhalifu upi? Kwani kuna siku maalumu ya uhalifu ambayo ni mkesha wa kuingia mwaka mpya?Unazingua,
Unataka wasioneshe uwepo wao kisha wahalifu wapate moyo wa kufanya uhalifu uje uwalaumu humu mitandaoni Polisi hawafanyi kazi yao.
Kwani wakivaa hayo mavazi, wakaandamana wenyewe kama hivyo walivyofanya bila kumvamia raia mwema wewe wanakudhuru nini?
Sio kila kitu unakimbilia kulaumu. Ni bora wawatishe wahalifu waogope kujaribu uhalifu kuliko wanyamaze wasubiri kuzima tukio na silaha huku hao wahalifu wakiishia jela au mortuary. Kwa kufanya kitisho wame waokoa watu na mali zao.
Wee unataka tanzania ipate maafa yasiosahaulika hawa wakienda huko nje labda wakawe security wa kawaida tena wasiopewa silaha
hahaaa!.Unazingua,
Unataka wasioneshe uwepo wao kisha wahalifu wapate moyo wa kufanya uhalifu uje uwalaumu humu mitandaoni Polisi hawafanyi kazi yao.
Kwani wakivaa hayo mavazi, wakaandamana wenyewe kama hivyo walivyofanya bila kumvamia raia mwema wewe wanakudhuru nini?
Sio kila kitu unakimbilia kulaumu. Ni bora wawatishe wahalifu waogope kujaribu uhalifu kuliko wanyamaze wasubiri kuzima tukio na silaha huku hao wahalifu wakiishia jela au mortuary. Kwa kufanya kitisho wame waokoa watu na mali zao.
Nguchiro kweli ww kwani waliajiriwa kwaajili ya kupigana nchi za watu?
Mkikabwa mitaani hamuishi kulalamika mbaya zaidi hata kujitetea wenyewe hamuwezi, vitoto viwili vikiwatishia kidogo mnafarakana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo haya ni matokeo ya kichwa kujaa matopeChadema wakishika dola watawaachia majambazi wafanye watakavyo.
Haya yako ni hivyo hivyo.Mawazo haya ni matokeo ya kichwa kujaa matope
Una mawazo ya ajabu sana!Haya yako ni hivyo hivyo.
Hata wewe, au hujioni?Una mawazo ya ajabu sana!