Dah darasa la saba nikikumbuka walikuja walimu ambao walikuw ni wanajeshi baada ya kubadilishwa kwa mkuu wa shule akaja huyo mbibi ndo akaleta sijui hao vijana wake oya sio poa ukisikis WIFA WINYA WIFA WILOLA sio poa walivokuja wakasema mnakubali kushilikiana wauni tukajibu Ndiooooo ndioooooo...
Nikimkumbuka mwanangu KIBELE na IZZY na kesi za utapeli nacheka sanaaaa kwenye kubeti tuu na kununua mikeka kudadeki 328k shwaaaa kama utani unamjua nani uyoooo MICHAEL BETTING STAR anakwambia anampiga muhindi kwake cio p
Jichanganye sasa ukiingia INSTA MSHUA KABISA lkn real life anadhiki balaaaaa
Kutoka na reference ya GEMINI AI
Adhabu kwa Mtanzania anayekamatwa akisambaza au kuuza magendo nchini China itategemea mambo kadhaa, kama vile aina ya bidhaa haramu, kiasi cha bidhaa, na kama kuna hali mbaya zinazohusiana na kosa hilo.
Kwa ujumla, adhabu zinaweza kujumuisha:
* Faini: Faini...
Hasara za Wanafunzi Kufundishwa Maisha ya Panzi na Revolution of Man Badala ya Fani na Niche Zao za Ndoto:
Kuna hasara kadhaa za wanafunzi kufundishwa maisha ya panzi na 'Revolution of Man' badala ya kufunzwa fani na niche zao za ndoto au fursa zilizopo baada ya kutoka mashuleni:
1. Kukosa Ujuzi...
Kwa kuwa maendeleo ni mchakato wa pamoja kati ya serikali na wananchi, hapa kuna hoja kadhaa ambazo zinaweza kuchangia maendeleo makubwa Tanzania ndani ya miaka 5 hadi 25
Ila katika kila point ntakayotoa ELIMU ni kipaumbele changu
1. Elimu Bora na Endelevu: Kuwekeza katika elimu ya msingi...
Kwa maoni yangu juu ya hilo kwa kuanza na VYANZO VYA RUSHWA pamoja na namna inawezekana ikadhibitiwa(SOLUTION)
SOURCES
1.Ugumu wa Ushindani: Katika tasnia ambazo kuna ushindani mkubwa kwa fursa za kazi au tuzo, watu wanaweza kuwa na hamu kubwa ya kutafuta njia za kutenganisha au kupendelea...
Kwa upande wangu sio kila movie itakuwa na reality unayoitaka katika maisha ya kawaida mfano katika filam za wenzetu unakuta mtu anatoa moto 🔥 ambao kiukweli katika maisha ya kawaida haiwezekani yote hiyo ni njia ya kuwakilisha wazo na kufikisha ujumbe katika jamii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.