Recent content by Salma luhombero

  1. S

    Nataka niingie kwenye kilimo, kwa anayeuza eneo/shamba

    Ni chalinze mbele ya mtu Ruvu kuzuri balaa wahindi sasa hivi wajanja wengi nenda serikali za mitaa wambie unataka shamba mi dalali wa uhakika nae
  2. S

    Nataka niingie kwenye kilimo, kwa anayeuza eneo/shamba

    Miono uko mbele ya Mto ruvu kuna kijiji kunaitwa Mandela chalinze huko Ardhi ina kibali kila kitu
  3. S

    Nataka niingie kwenye kilimo, kwa anayeuza eneo/shamba

    Tafuta miono heka ni laki mbili na nusu kuzuri mno
  4. S

    Nasafisha viwanja, kufyeka mashamba n.k

    Naomba namba yako kuna mtu anatafuta mtu wa kumsafishia shamba lake
  5. S

    Gharama vifaa vya umeme kwa Dar es Salaam

    Naomba namba yenu ya what’s up
  6. S

    Ni kwanini unajenga nyumba ya ghorofa?

    Na mimi naomba namba yako please ya heka moja
  7. S

    Naomba kujuzwa gharama za tiles hizi

    No omba namba yako kuna mtu anataka madirisha ya pvc please
  8. S

    Nadaiwa Bilioni 4 benki, sina kitu hali iliniendea vibaya. Naomba ushauri

    Pole sana ndugu yetu wala usijiue sio mwisho wa dunia tafuta safari uende ulaya ukaanze upya nenda Canada au marekani kama utaweza pole sana
  9. S

    Niliyojifunza kutoka ujenzi wa nyumba yangu ya kwanza

    Ulinunua wapi hiyo milango ya laki Tatu tunaomba namba please
  10. S

    Natafuta Kiwanja Kibaha

    Bado vipo
Back
Top Bottom