FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,708
- 4,493
- Thread starter
- #21
Write your reply...
Weka namba yako ya simu. Heka moja unasafisha kwa bei gani?Habari wakuu, nafanya kazi za kusafisha viwanja, mashamba n.k. Kama una eneo naomba tuwasiliane nikusafishie.
Mimi niko Dar.
inategemea na shamba liko katika hali gani.Weka namba yako ya simu. Heka moja unasafisha kwa bei gani?
Unafanya usafi kwa vigezo vipi?Habari wakuu, nafanya kazi za kusafisha viwanja, mashamba n.k. Kama una eneo naomba tuwasiliane nikusafishie.
Mimi niko Dar.
mkuu mimi nafanya usafi kwa heka 30000 kima cha chini, itategemea na shamba ni chafu kiasi gani. Naenda popote kufanya kazi kikubwa makubaliano.Unafanya usafi kwa vigezo vipi?
1. Ukubwa eneo, kwamba kila ekari moja ni shilingi fulani?
2. Kiwango cha uchafu ulioko eneo husika?
3. Umbali toka ulipo mpaka kwenye eneo?
4. Terrain ta eneo ina mchango kwenye bei?
AU ni vigezo vipi?
Unatumia vifaa gani?mkuu inategemea na shamba lina majani miti kiasi gani.
ila kima cha chini kabisa kusafisha heka moja ni 30000.
Kama wewe ni Mhaya sitaki hata kukusikia kwani hamkawii kugeuka na vitabu vyenu vya sheria.Habari wakuu, nafanya kazi za kusafisha viwanja, mashamba n.k. Kama una eneo naomba tuwasiliane nikusafishie.
Mimi niko Dar.
vifaa vya kawaida tu mkuu vinajulikana, panga, jembe na leki inapohitajika.Unatumia vifaa gani?
Mkuranga hapo unaweza kufika na kufanya hiyo kazi?
siyo nshomile mimiKama wewe ni Mhaya sitaki hata kukusikia kwani hamkawii kugeuka na vitabu vyenu vya sheria.
Unavyo mwenyewe?vifaa vya kawaida tu mkuu vinajulikana, panga, jembe na leki inapohitajika.
napata tabu kuandika bei maana unaweza kuta ni msitu! Ila kazi itafanyika nikifika eneo husika. Ila kama ni msitu sana haitapungua 50000Ekari moja yenye miti unasafisha Kwa bei Gani?
kwa maeneo ya kusafiri umbali kidogo itakuwa changamoto kubeba majembe mkuu. Ila nina panga langu naenda nalo popote. Vingine tunaweza zungumza namna ya kufanikisha kaziUnavyo mwenyewe?
Vifaa unavyo mwenyewe au vyangu?vifaa vya kawaida tu mkuu vinajulikana, panga, jembe na leki inapohitajika.
Naomba namba yako kuna mtu anatafuta mtu wa kumsafishia shamba lakeinategemea na shamba liko katika hali gani.
Kusafisha msitu na shamba la kawaiada bei haiwezi kuwa sawa.
Ila bei ya chini ni 30000.