Kipindi flani nikiwa umri wa 15 kijijin ...wakati nimeenda kuchunga ng'ombe enzi hzo ndy nanza anza kutumia sm ..nilikua nachezea cm mpkaka nikajisahau kama nachunga ng'ombe akaenda kula nyanya za watu ....saangap mwenyewe asione nikaanza kumkimbiza ng'ombe kumrudisha nyumba nilimpga Hadi...
Hapo nikufundishwa ujue moja jumlisha moja ni ngapi ...mambo ya kufanikiwa ni yako binafsi utapambana mwenyew ....unataka ufundishwe kufanikiwa wakati anae kufundisha mwenyew hana mafanikio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.