Wadau habari!
Mimi Leo naomba kufahamishwa kazi ya Antenna zinazofungwa kwenye Magari. Mfano ni katika picha hizi [emoji116][emoji116]
Naomba tufanye ku share elimu.
Naomba msaada/ushauri juu ya Garage/Fundi mzuri anaefanya vizuri Body works & Painting kwa Toyota Land Cruiser 70 series. Uaminifu, professionalism vitawale. Location ni Dar es salaam
Wadau.
Naomba msaada na ushauri juu ya garage/ fundi mzuri ambae anaweza akanifanyia Body works & Painting kwa Toyota Land Cruiser 70 series.
Location awe ni Dar es salaam
Nilipenda kufahamishwa kwa yeyote mwenye taarifa kamili juu ya hili swala.
Magari yalokua yakidaiwa Motor vehicle yataendelea kudaiwa ama ndo itakua yamesamehewa..
Hilo ndo swali langu wadau
Engine na Turbo yake viko safi kabsaa.. Ukifika tutawasha gar kama n test itafanyika then utatoa maamuz yako.. Kama huna experience na magar unawezkuja na fundi wako akusaidie
Ni kweli..sema katka kuuza kitu kuna factors ambazo znapelekea mtu anaamua kuuza kitu chake kwa bei husika including condition ya kitu pia.
Ila kitu ambacho nakuhakikishia n kua engine n nzima na tunaweza tukaiwasha kisha ukasema mwenyewe kama utakua n mtu unaejua magari!!
Kama n mtu unaefahamu gari.. Haina haja ya kuongea San.. Kama unaihitaji unawezafika sehemu husika.. Maana engine bado iko kweny gari.. Tutaiwasha kisha mwenyewe itaskilizia na utatoa majibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.