Brother Ten:
Tunafurahiautani wa Simba na Yanga. Huleta mori kila timu na hii huipandisha daraka National team na kujengeka. Iko siku Afcon wataibebe Tanzania.
Shikran Kaka Pembe. Nimepokea matusi yako kwa mikono miwili. Matusi hayawachi kovu wala hayaondoshi ukweli. Nakuombea kwa Mungu akupe afya na nguvu uzidi kutukana. Mwenyezimungu akuzidishie baraka na neema ya kipato. Mimi ni mefurahi mno kumsikia mzee Mchachu akizungumzia real football facts...
Kwa kweli mimi si Mtanzania. Wala sina timu. Umri umeenda sana
. Mimi ni Muarabu. Naomba tutumie maneno ya staha kwani culture ya Tanzania ni yenye heshima kubwa. Usiwatusi oponents wako. Mimi naomba Tanzania ichukue kombe hili.
Hakuna na hatotokeya anayejuya yatayotokeya mbeleni ila Mungu mwenyewe na hazungumzi na wanadamu. Na zama za kuleta mambo usingizini au materemsho umepita.
Mategemeo si kila siku yanatokea. Unaweza kupenda kitu kumbe kina shari kwako na unaweza ukachukiya kitu kumbe kina kheri kwako. Mungu ndiye anayejuwa na sisi hatujuwi.
Nisingependa kusema lakini nitasema. Kurushiana matusi si ubinadamu. Tuwe wastaarabu jamani. Vyama ni clubs tu mara juu mara chini lakini utu unabakiya.
Hapa Arabuni nimeona TV moja ya kiarabu ikitowa kwa urefu sana maudhui hiyo ya huyo Lowasa. Wanasema kafukuzwa kwenye chama chake indirectly hapo sikufahamu. Naona wazungu wanasema kaamuwa kuacha CCM. Nani mkweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.