BBC, DW, VOA, Aljazeera yamtangaza Lowassa dunia nzima

BBC, DW, VOA, Aljazeera yamtangaza Lowassa dunia nzima

Mitaa yote ya Paris St Germany, Aston Villa, Chelsea, Bayern Munich, Liverpool, Manchester, Arsenal Wenger, West harm, NBA, Barcelona, Real Madrid, David Beckham, UEFA n.k

Yooote ilijaa watu kwenye big screens kushuhudia ujio wa Lowasa ukawa.
ha ha ha ha ha wewe ni chibokooooo!
Nasikia hata mitaa ya jahazi,baikoko na kangamoko ilizizima mno.
 
Aisee kwenye huu uzi wote mpo nje ya nchi(ughaibuni).Hongereni sana!
Nafikiri ni mimi na wewe tu ndio tuliopo bongo,mimi nipo huku tandale ya mtogole jijini Dar, wewe mwenzangu upo wapi?
 
Habariii kutoka boooooooooon.Aliyekuwaaaa waziri mkuuu mstaaafu wa Tanzania Mj Lowasaaaa amepiga tekeee chama chake cha sisieeemuuuuu na kujiunga na chademaaaaaa..hayo yanajiiiiri baada ya jina lakeeeee kukatwaaa kwenye kinyanyanuiro cha uraisiiiii..mimi ni umuuni khyeeeeirrrr

Hivi alistaafu?
 
Huku kwetu Marekani mheshimiwa rais [obama] katoa siku tatu za mapumziko,kusheherekea uhuru wa Tanzania...ninavyo ongea hapa mitaa imefungwa,maduka,ofisi mbalimbali....kiufup mabango ya lowassa ndio yalyo tawala huku Marekani..hasa chicago!!
 
Huku kwetu Marekani mheshimiwa rais [obama] katoa siku tatu za mapumziko,kusheherekea uhuru wa Tanzania...ninavyo ongea hapa mitaa imefungwa,maduka,ofisi mbalimbali....kiufup mabango ya lowassa ndio yalyo tawala huku Marekani..hasa chicago!!
 
Hakika E.L amepata coverage kubwa kwa redio na runinga za kimataifa kwa kuweka historia ya kuwa kiongozi wa juu kukihama ccm na kujiunga na upinzani kwa mara ya kwanza.vilevile wamesema kuwa siasa ya Tanzania imekuwa na uenda ukawa ndio mwanzo kwa chama cha ukawa kushika dola.

Kuna chama kinaitwa ukawa kweli?
 
On today's news the Killing of Cecil the lion by an american dentist which took place in Zimbabwe national park has more coverage and condemnation than what is transpiring in Tanzania politics, labda wazungu washajua mbio za sakafuni tu hizi.
Mkuu unamaanisha nchi za magharibi
zimeshindwa uzalendo zimeamua kuondoa vikwazo zimbabwe?
 
Mkuu Mimi ni CDM Lkn nashangaa tunaungana na wale ambao viongozi wetu walikua wanatuambia kua ni mafisadi! INA maana walikua wanatudsnganya hapo zamani au vipi? Watuambie ukweli Ni UPI?
Mkuu walikuwa wanaidanganya ccm
na ccm kwa kutojua ikamuengua wakamuokota.
na cha kuokota si cha kuiba,Mzee Kingunge alisema chama chenyewe
kilimsafisha kwa kashfa ya richmond,na kama ni mchafu sera ya kujivua gamba iliishia wapi?
na mbona hakupelekwa mahakamani kama ilivyo Yona na Mramba?

Ukiwa na ndizi mkononi,mtu akakwambia imeoza itupe
na wewe bila kuikagua,ukaitupa.Usipige kelele mwenzio
akiiokota kwani thamani ya hiyo ndizi kwako imeishakuwa sifuri.

Upinzani hatuhitaji kufundishwa kipi kisafi
au kipi kichafu na ccm,wanaoongoza kupiga watu
kwenye kampeni za wao kwa wao ni ccm ushahidi upo humu jf
Na toka EL amejiuzuru tumeshuhudia ufisadi ukivuka kiwango
si ajabu EL alikuwa anazuia,baada ya kutoka umezidi.

Binafsi namchukulia EL kwamba amekimbia uovu
na kuleta ongezeko la neema UKAWA.
 
Hapa Arabuni nimeona TV moja ya kiarabu ikitowa kwa urefu sana maudhui hiyo ya huyo Lowasa. Wanasema kafukuzwa kwenye chama chake indirectly hapo sikufahamu. Naona wazungu wanasema kaamuwa kuacha CCM. Nani mkweli?
 
Hakika E.L amepata coverage kubwa kwa redio na runinga za kimataifa kwa kuweka historia ya kuwa kiongozi wa juu kukihama ccm na kujiunga na upinzani kwa mara ya kwanza.vilevile wamesema kuwa siasa ya Tanzania imekuwa na uenda ukawa ndio mwanzo kwa chama cha ukawa kushika dola.

Ukawa kushika dola kwa Tume gani ya uchaguzi.

Vv
 
Mkuu unamaanisha nchi za magharibi
zimeshindwa uzalendo zimeamua kuondoa vikwazo zimbabwe?
Hapana mkuu kuna simba kweli aliuliwa huko Zimbabwe apparently alikuwa popular among the locals and tourists, jamaa wamekasirika sana hadi kumtafuta muhusika huko marekani na imebidi aombe radhi dunia kwa kumuua Cecil the lion, kwa jana hiyo ilikuwa ni habari katika dunia kuliko Lowassa kuamia CDM.

Inasemekana Cecil kwanza alikuwa lured into the farm kabla ya kupigwa mshale ambapo alikimbia kwasababu auku mzuru sana baada ya hapo wauwaji wakamsaka kwa masaa 40 na kumpiga bunduki. Hili swala lilikuwa la muhimu sana kwenye vyombo vya habari vya kimataifa kuliko kinachoendelea kwenye siasa zetu.
 
Mkuu Mimi ni CDM Lkn nashangaa tunaungana na wale ambao viongozi wetu walikua wanatuambia kua ni mafisadi! INA maana walikua wanatudsnganya hapo zamani au vipi? Watuambie ukweli Ni UPI?


Kuna wakati katikati ya Pambano unaweza kumteka adui ukamtumia kuuvuruga upande wake...

Mkuu Kenyatta wa KANU sio Kenyatta wa leo na Ruto...

Kuna wakati Mungu anafanya mambo tusiyoyajua....

Kuupasua mwamba wa CCM na kuikata minyororo yake si kazi ya kitoto!!!

Historia ni mwalimu mzuri rejea Vyama hodhi vilivyodondoka huko kwao....

Mkuu huu mnyororo wa chuma ndicho chanzo cha jeuri na mkingamo wa ushenzi mwingi....

Tumepata Silaha ya kubomoa tuungane kuzivunja nguvu hizo ili Kesho mwingine mwenye haki aweze shinda!!!

"JIPE MOYO UTASHINDA"
 
Kiongozi wa kwanza?!!! Ivi kweli upo serious? Mrema unamjua au umeshamfuta?

Lowasa anapoteza muda nchi hii hawezi shinda na cdm watajutia maamuzi. Believe me or not. Just stay tuned.
Wanachadema wote waliokuwa na nia ya dhati ya kupinga ufisadi they very very discouraged.
Mtatumia nguvu nyingi isiyo na mafanikio kuwaaminisha kweli ur a real figher.

Viongozi wao hawakutaget chama kinufaine zaidi wametanguliza manufaa yao ya mgao.

Uongozi wenu wameanza kula matapishi yao wenyewe.

Ni aibu kubwa.
Taarifa zilizopo mitaani wanachama wengi wanatangaza wengine kukihama chama na wengine hawataki tena kumsikiliza mwana siasa.

Kazi mnayo[/QU

CHADEMA wajute kwanini, usidhani kwamba viongozi wa chadema wanaakili kama za kwako kwamba hawajui wanachokifanya.
 
Hata hapa La tuna,Colombia. El chapo Guzman kafurahishwa mnoo na taarifa za Eddo kuhama siku nzima tumeshindia coca na marijuana huku tukiendelea na mazungmzo.
 
Back
Top Bottom