USHAURI: Dr. Slaa nenda CUF,Chukua form na gombea uraisi.

USHAURI: Dr. Slaa nenda CUF,Chukua form na gombea uraisi.

Dik

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,205
Reaction score
416
Wana jf na wapenda mabadiliko wote,kuna something under the capet. Tuna mgombea mmoja toka UKAWA ambao ni umoja wa vyama vya upinzani vyenye nguvu tz. Out of this hamna chama chenye Mgombea mwenye uwezo wa kupambana na wa CCM. Hivyo CCM wakifanikiwa kumstopisha EL ushindi ni wao 100%. Posibility za kumstopisha EL wa ukawa ni kubwa ( either yeye mwenyewe kujitoa dakika za mwisho, kuwa assasinated, au kufunguliwa kesi). MARK MY WORDS. Tuwe na altenative passive candidate in case yakitokea hayo hapo juu tuweze kumpromote mwishoni. Dr Slaa ahamie CUF na achukue form. Apatikane mgombea mwenza toka CHADEMA Zanzibar (also passive). They will come to save us. MARK MY WORDS ONCE MORE: Jumapili njema.
 
CCM bwana, tumieni muda huu kuandaa vipato halali kwa ajiri ya Maisha after October! Manake hapatakuwa na buku7 per thread tena!
 
pumba. mnafikiria mauaji tu. ...mbafu zenu.

Wana jf na wapenda mabadiliko wote,kuna something under the capet. Tuna mgombea mmoja toka UKAWA ambao ni umoja wa vyama vya upinzani vyenye nguvu tz. Out of this hamna chama chenye Mgombea mwenye uwezo wa kupambana na wa CCM. Hivyo CCM wakifanikiwa kumstopisha EL ushindi ni wao 100%. Posibility za kumstopisha EL wa ukawa ni kubwa ( either yeye mwenyewe kujitoa dakika za mwisho, kuwa assasinated, au kufunguliwa kesi). MARK MY WORDS. Tuwe na altenative passive candidate in case yakitokea hayo hapo juu tuweze kumpromote mwishoni. Dr Slaa ahamie CUF na achukue form. Apatikane mgombea mwenza toka CHADEMA Zanzibar (also passive). They will come to save us. MARK MY WORDS ONCE MORE: Jumapili njema.
 
Wana jf na wapenda mabadiliko wote,kuna something under the capet. Tuna mgombea mmoja toka UKAWA ambao ni umoja wa vyama vya upinzani vyenye nguvu tz. Out of this hamna chama chenye Mgombea mwenye uwezo wa kupambana na wa CCM. Hivyo CCM wakifanikiwa kumstopisha EL ushindi ni wao 100%. Posibility za kumstopisha EL wa ukawa ni kubwa ( either yeye mwenyewe kujitoa dakika za mwisho, kuwa assasinated, au kufunguliwa kesi). MARK MY WORDS. Tuwe na altenative passive candidate in case yakitokea hayo hapo juu tuweze kumpromote mwishoni. Dr Slaa ahamie CUF na achukue form. Apatikane mgombea mwenza toka CHADEMA Zanzibar (also passive). They will come to save us. MARK MY WORDS ONCE MORE: Jumapili njema.


Kuna kundi limeibuka ghafla wakijifanya kuwa na uchungu sana na CHADEMA kumbe ni wanafiki, moyoni wako CCM. Wakati Magufuli anatangazwa kundi hilo hilo liliibuka na kuwashauri CHADEMA wakomae na ubunge. Ujio wa Lowassa umeonyesha rangi za baadhi ya watu. Sasa ni kama wamechanganyikiwa na kujifanya washauri wa CHADEMA.

Mimi nilikuwa mmoja wa watu niliyempinga Lowassa na kumuita mwizi wakati wa mchakato wa kura za maoni CCM ili asipitishwe sababu kubwa niliona upepo wake ulikumba hata wasiokuwemo. Nilijua wakimpitisha tu wapenda mageuzi tumekwisha kwani upepo wake ungepiga hadi kwenye majimbo ya upinzani, na badala ya kuongezeka yangepungua. Kuna wabunge wengi wa CCM walitegemea sana upepo wa Lowassa uwapitie. Sasa hivi wamechanganyikiwa wanaomba bora wangejitoa CCM mapema kabla kura za maoni CHADEMA hazijafanyika.

Ndugu zangu upepo wa wanasiasa ni mbaya sana kuna wabunge CHADEMA upepo wa Dr.Slaa uliwapitia hadi leo hawaamini kama wapo mjengoni. Lowassa upepo wake ni mbaya sana. Dr.Slaa angemsumbua Dr.Magufuli lakini asingemshinda. Vile vile kwenye UKAWA ujio wa Lowassa umeleta mshikamano zaidi. Ninaamini kuna wana CUF na NCCR wasingeweza kumpigia kura Dr.Slaa zaidi ya wabunge wao. Lakini Lowassa ni kama amekuja kuwaunganisha UKAWA. Zitabebwa kura nyingi sana hapa.

Hawo wasiomtaka Lowassa ni wale waliotaka wapinzani wawe wapinzani milele. Ndio wale utawaskia Urais CCM, Ubunge upinzani. Huo ni unafiki mkubwa. Tunahitaji CCM itoke kabisa. Sasa ujio wa Lowassa ni kama umewachanganya sana wamebaki kujifanya wanakishauri chama kumbe wanafki wakubwa. Lengo kuu la chama ni kushika dola kama kuna upenyo umetokea wa kukupeleka huko utumie ipasavyo. Muda ndio huu ukipita CCM itatawala milele.
 
Huna akili kabisa,nani alikwambia mgombea akiwa assassinated uchaguzi unaendelea?
 
Slaa atakwenda kwa Zitto. Mark my words...

Ningekuwa mtu wa karibu na Dr. ningemshaul aachane na siasa hizi za wafanya biashara maana wote sasa na wapiga madir yeye ata ziweza kila aendako si ACT, CDM,CHADEMA, NCCR,CCM,ADC nk
 
Kwanini usimshauri mama yako aende yeye? Si amefikisha umri wa miaka 40?
 
Matusi si kawaida ya Watanzania walostaarabika. Mkataze au mpinge mwenzako kwa hekima kwani mwisho wa siku sote ni binadamu na tunastahiki heshima.
 
Ni vigumu kuamini kma na mimi ni chadema member. Natoa ushauri wangu kwa nia njema na kuwashirikisha hapa bdla yake natukanwa. Ok by the way,najua madhara ya kulumbana na kugawanyika hapa .faida huja pale mnapoamua kwa pamoja na kushirikiana. If you wish take it.
 
hakuna jambo la kupuuzwa....
Mtoa post wanakubeza ila watakukumbuka.....
NILIVYOKUELEWA MIMI......si kama Dr. SLaa awe mgombea LA HASHA ...in case zengwe likitokea kuwe tayari na SUB ambayo imesajiliwa....

JUST IMAGINE

LOWASA hagombei kwa namna moja ama nyingine, vyama vingine havijasimamisha mgombea isipokuwa TPP-MAENDELEO, TLP say na UDP je itakuwaje hapo?????

We have to be critical and skeptical at the same time......tufikiri nje ya box....WHY IF d WHAT IF......

Tena great thinker anasisitiza kwa kusema "MARK MY WORDS" na bado tunamkejeli
 
Hayo mambo mnayoongea wenzenu walishayajua mapema na kutafuta mwarobaini wake. Tulien angalien game linavyokwenda kwenye usajili wa mwaka huu.
 
Moderator nadhani kuna haja ya kuzicontrol hizi nyuzi sasa, huu utumbo mnauacha hadi sasa, mtu nafahamu fika kuwa CUF ipo UKAWA afu anakuja kutoa ushauri ka ushuzi huo
 
Last edited by a moderator:
Kwani Maisha ni Urais pekee.. mkumbuke anatakiwa rais mmoja tu.. na wakubwa wanasoma upepo unaendaje..ishu sio kuchukua form.
 
Back
Top Bottom