Dawa yake tafuta cku muondolee uvivu mueleze jinc hupedwezi na tabia yke na mambo yote anayofanya yaco kupendeza na akupe mpango wa maisha yenu ya mbele uko vp
Inategemea km toka Mwanzo umemzowesha kum2mia msg na kum plz imesha mjenga ktk kichwa chake ss ukikaa kimya lazima aje juu!
Na kuhic tofauti unajua wanawake wengi wametawaliwa na wivu!
Na ndio tatizo kubwa linalowapata Watu wengi ktk maucano.
Sasa bs linapokuja swala la kutaka kubadilishia...
Yan umeongea Maneno Sahihi kabisa pesa ya Mkopo haifai kbs kuingiza ktk dili utapoteza Nyumba uloweka dhamana na Maisha kuhalibika mambo ya ujanja ujanja hayafai kabisa yan pesa yko Mwenyewe unajitia Mashakan
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Jaman ht hali km ngum inabidi uvumilivu uwepo anaumwa na yuko hospital ht km ni shida jaman tuczibe ktk mifuko ya Rambo
Janaba ni kufanya tendo la ndoa alfu hujitohalishi kwa cc Waisram ndivyo dini ye2 inatuamlisha ila kwa madheebu ya dini nyingine nikufanya tendo la ndoa bila kuoga ndo linaitwa janaba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.