Salamamohame
Member
- Jul 24, 2017
- 55
- 41
Kweli kabisa nakuunga mkono mi nili2mia mwezi moja nimekata kilo nyingi snukiweza hii utapungua sana shida ni misosi ya home labda kwa bachelors mara kuna pilau mara wali ndondo mara samaki sijui na ugali usipokuwa na msimamo unabwaga manyanga
asbh
mayai 2(kaanga) matunda na maji meengii kikombe cha kahawa bila sukari
mchana
nyama aina zootee/samaki/kuku na maji mengi na kachumbari
usiku
nyama aina zoootee/samaki/kuku na maji mengi na kachumbari
hakikisha huli wanga wowote yaani ugali mikate mandazi chapati keki soda bia kunywa gin kidogo tu kaglasi wikiendi siyo libapa
nyama usikomeleshee walau isizidi nusu kilo au nusu kuku samaki mmoja au wawili kula mafuta yeyote kwenye nyama kunywa michuzi yaani we kula mafuta unaweza weka humo na mboga za majani za kupikwa kwa mafuta yani usipunje mafuta
snacks
karanga mkono mmoja kwa siku
karoti moja mbichi
usile korosho
kunywa maji mengi uwezavyo ukiweza lile azam likubwa liishe
mazoezii fanya kiasi tuu yani yachangie asilimia 20 ya upunguaji wa mwili wako huku asilimia 80 ikitokana na vyakula unavyokula hata ushinde gym jua mwili wako haupungui sababu ya chakula unachokula
mpango huu unawafaa sana wale wenye group type O kwa wengine daahh ni kula mboga mboga zaidi huku nyama ukinyapia nyapia.tafuteni foods for blood type google
dawa ni kuacha chakula cha wanga na sukar co mafuta