Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

ukiweza hii utapungua sana shida ni misosi ya home labda kwa bachelors mara kuna pilau mara wali ndondo mara samaki sijui na ugali usipokuwa na msimamo unabwaga manyanga
asbh
mayai 2(kaanga) matunda na maji meengii kikombe cha kahawa bila sukari
mchana
nyama aina zootee/samaki/kuku na maji mengi na kachumbari
usiku
nyama aina zoootee/samaki/kuku na maji mengi na kachumbari
hakikisha huli wanga wowote yaani ugali mikate mandazi chapati keki soda bia kunywa gin kidogo tu kaglasi wikiendi siyo libapa
nyama usikomeleshee walau isizidi nusu kilo au nusu kuku samaki mmoja au wawili kula mafuta yeyote kwenye nyama kunywa michuzi yaani we kula mafuta unaweza weka humo na mboga za majani za kupikwa kwa mafuta yani usipunje mafuta
snacks
karanga mkono mmoja kwa siku
karoti moja mbichi
usile korosho
kunywa maji mengi uwezavyo ukiweza lile azam likubwa liishe
mazoezii fanya kiasi tuu yani yachangie asilimia 20 ya upunguaji wa mwili wako huku asilimia 80 ikitokana na vyakula unavyokula hata ushinde gym jua mwili wako haupungui sababu ya chakula unachokula
mpango huu unawafaa sana wale wenye group type O kwa wengine daahh ni kula mboga mboga zaidi huku nyama ukinyapia nyapia.tafuteni foods for blood type google
Kweli kabisa nakuunga mkono mi nili2mia mwezi moja nimekata kilo nyingi sn
dawa ni kuacha chakula cha wanga na sukar co mafuta
 
We hapo umefanikiwa kwa sababu umepunguza kula tu na wala si kwa sababu ya Hiyo konyagi
 
We hapo umefanikiwa kwa sababu umepunguza kula tu na wala si kwa sababu ya Hiyo konyagi
nan amekwambia nmepunguza kula?? cjapunguza kula ila nliacha kula vyakula vya mafuta kwahyo ikawa ni dona kisamvu na dagaa kwa sana wa kutosha
 
nan amekwambia nmepunguza kula?? cjapunguza kula ila nliacha kula vyakula vya mafuta kwahyo ikawa ni dona kisamvu na dagaa kwa sana wa kutosha

Kwa aina ya vyakula hivyo ulivyokuwa unakula hata usingekuwa unakunywa hizo nyagi ungepungua tu, kwa Hiyo hapo point yangu ni kwamba kilichopunguza uzito wako si nyagi Bali ni aina ya vyakula ulivyokuwa unakula
 
Kwa aina ya vyakula hivyo ulivyokuwa unakula hata usingekuwa unakunywa hizo nyagi ungepungua tu, kwa Hiyo hapo point yangu ni kwamba kilichopunguza uzito wako si nyagi Bali ni aina ya vyakula ulivyokuwa unakula
daah sidhani nyagi ina nafasi yake kwenye kuyeyusha mafuta fasta

kama ukiacha kula mafuta maanaake tumbo lingebaki vilevile haliongezeki ila limetoka kabisa
 
kama unakitambi au tumbo kwa mwanaume na huna mda wa mazoezi basi tiba imepatikana nmeijaribu kwa mwezi mmja na nmeona matokeo chanya

Asubuhi ukiamka kunywa vifuniko viwili vya konyagi

mchana kunywa vifuniko vinne vya konyagi

jioni kunywa vinne vya konyagi

pia usinywe maji ya barid hata siku moja kunywa maji ya uvuguvugu au ya kawaida

wakati huo ukipunguza kula vyakula vya mafuta

imefanya kazi kwa wanaume kwa wanawake sijui.

utakuja kunishukuru siku moja
 
Hiyo siyo Dawa maana umeshasema punguza kula vyakula vya mafuta na ni ambayo hata ukiendelea kugonga vyakula vya mafuta ndoo nzima hutapata kitambi
 
Sasa wewe mwanangu umepunguza milo lakini ukija kukalia msosi huo wa mara moja kutwa unakuwa kama unahama! Ukitoka zoezi nako ukija kukalia sahani ya msosi kama huji kula tena!! Labda umwambie Shaka akupeleke Mombasa!!
 
Ungeweka uzito wako wa sasa mkuu na malengo yako upungue hadi uzito gani? Nilikuwa na tatizo kama lako mimi nilifanikiwa kukata kitambi bila kwenda gym
 
Tatzo linaweza lisiwe kupunguza kula ila ni aina gani ya chakula.. usifanyeFanye mazoezi FANYA Mazoezi kupungua Uzito si jambo la muda mfupi..
 
Back
Top Bottom