CHADEMA haina tabia ya kujitafakari, haijisahihishi, na wamezoea kuishi kimazoea.... Wanadhani kila wanalosema ni sahihi..! ... ( hata mimi nikaona kaugonjwa hako)
Eneo ni zuri sana kuna lami mpk site, maji na umeme. Bei ni 50,000 /=Kwa squre mita na viwanja mbele kabisa vinavyoangalia barabara kubwa Ya lami ni 70,000/=
Ila kusupport ujinga wa chama changu sio hila yangu..
Zitto yuko sahihi kabisa kinachomtokea saivi ni vita ya kisiasa
Ambayo kipindi hiki ndo mda wake wakunyong'onyeshana kwa maneno..nafikiri jambo kubwa ambalo zitto anaweza kufanya
Kwa sasa nikukaa kimya kabisa mda utakuja automatically...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.