luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,938
Ndugu acha ushabiki usio na maana, numbskulls ziliuzwa kwa baraka zote toka baraza la mawaziri, ndio maana hata watu (wanasiasa)makini hawalisemei hili.
Dr. Slaa mnayesifia hata ninyi kwa umakini na misimamo alitangaza kupitia clouds fm kuwa angelikuwa raisi angemfunga magufuli jela kwa kuuza na kugawa nyumba za serikali.