Hawa jamaa noma kwa rushwa kila siku nilikua naskia tu sasa najionea mwenyewa, nilienda makao makuu pale zanzibar jamaa wa dirishani wakaona naomba Pass port ya biashara baada ya kukagua maombi yangu nikafunga finger print fresh nikaambia nenda baada ya wiki mbili wiki ya pili wakanambia lete...
FaizaFoxy
Mbali ya ulicho kizinguza lakini issue ya exchange rate ina impact kubwa kwenye uchumi wa nchi, kwenye ulimwengu wa utandawazi na international trade. hebu rudi nyuma kidogo kama exchange rate haina athari kwa nini nchi za magharibi zilidemand tushushe thamani ya fedha yetu ili iweze...
Ww umesoma ulaya labda pengine uko tofauti maana hawo wenzako tunaosoma nao ni vilaza mbaya eti wanaitwa wana one za six duu, labda wakali wa ku copy hamna lolote bora sisi tunaokotwa.
Tatize leo watanganyika moja munajifanya muna elimu lakini ni wavivu wa kufikiri, hivi unazani kama mnatutunza na hatutaki kwa nn mnatungangania shauri lenu itawagharimu baadae.
Kama mmetubeba kama unavyohisi (maana kama mungekua na elimu kama munavyojigamba musinge fikia hapo) na mumechoka kama unavyosema si mtutue tu wacheni upimbi uwo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.