mjukuu wa madiba
Member
- Mar 17, 2014
- 8
- 1
Guys hii ya jmos nu nyingne sio iyo waliobandika majina.mimi nilipigiwa simu juz alaf sikuweza kupokea ILA Leo nmeipigia wameniambia Ni jmos alaf Ni written wamenambia niende na kitambulsho na pen,sasa naomba kuuliza kwa aliyepigiwa simu walisema saa ngapi?maana mm simu imekatika kabla hajanambia vizuri huo mda WA interview.please help urgently guys
Ndg naomba unijulishe hiyo ya juma mosi ni duce au UCC maana ata sielewi asubuh nielekee wap plz jaman, then kuhusu tym niliambiwa ni asubuh nadhan ni vyema uwah mapema ktk eneo la tukio. Plz jaman tuambiane eneo la tukio