Tulioko Tanganyika tunaruhusiwa kununua?
Ndio mtu yoyote
na mimi naomba bei tafadhaliNyumba yangu nauza ipo mtaa wa kilimani mjini ni old house ina vyumba vya ndani na nje iko pembeni ya hospitali ya ALRAHMA hospital iko in very good condition ni ya chini serious buyer please contact me 0785996663