Punjab Singh
JF-Expert Member
- Jan 14, 2014
- 955
- 650
nawapa link mbona zamani wazanzibari washasema hawataki muungano huu uliopo... ama uwepo mwengine au Basi ndio wanavyotaka
unafkiria kinacholindwa hapa ni chama cha ccm zanzibar na sio hoja za kisomi ndio maana ukifuatlia mijadala ya wazanzibari utaona wanangangania vyama vya siasa visiwe vya muungano ili wawe na vyao kuepusha haya mashaka yalikuwepo bungeni
nasema hivi nnauthibitisho niliwahi tizama midahalo yao wakisema vyama vya siasa ndio vinavyotupa tabu ndio moja wakaamua kuleta serekali ya kitaifa ya pili wanagombania hili vyama vya siasa viwe tafauti kusudi wanapokuja katika bunge waje kama wazanzibari na sio ma ccm na ma cuf.
Kamati ya Maridhiano Six: MJUMBE WA KAMATI YA MARIDHIANO, EDDY RIAMY; 31/08/2013 - YouTube
hiii tosha ccm zanzibar inalazimishwa na watanganyika,
kama hujaelewa apo labda uwe ccm ambae ni rust
And the truth shall set CCM big timers free.