Kumbukeni kuna upole na ukimya. Dalili Kubwa ya mpole hachikii haraka hata kama ni mwongeaji Sana ILA mkimya haongei lakini nirahisi kumvaa yeyote na hasamehi na walk hamalizi ugomvi
Kila uombapo kwaMUNGU BABA usiombe unavyotamani ndani ya nafsi yako Bali omba tu akili, hekima na ufahamu wa MUNGU BABA, utapata kila jambo zuri la ufalme wake na ukivapata epuka sheria ya dhambi ili asikunyang'anye alivyokutunuku.
Wamalize matatizo yao kwanza, sasa hivi Hawana hata morrow authority yoyote ya kuchangamkia ya wenzao wakati wao, inter Alia, wanandoa za jinsia moja aibuuuuuuuuu
Chama chochote kinafikia maamuzi kwa vikao na maazimio,je kwa nini usiitishwe mkutano mkuu wa dharura ili kufikia maamuzi ya pamoja ili kuepusha migongano ya maslahi isiyo ya razima,maana learned brothers sharti wawe tofauti sana ktk kuamua
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakili wa kweli hawezi kuandamana bali kama kweli analake moyoni ataenda Mahakamani hivyo atakaye andamana ujue huyo ni si learned Brother
Sent using Jamii Forums mobile app
Naungana na wewe sana maana MUNGU BABA anawapenda wenye moyo wa kutubu na wasio jihesabia haki ,ambao kila siku wanawaonyeshea vidole badala wenzao bila wao kjichanguza na kutubu. Isaya 57;15.Pia Nina mtukuza sana MUNGU BABA aliyemo ndani ya Raisi wangu Hon MAGUFURI kwa toba aliyofanya ktk shule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.