Mjadala: Serikali ya Tanzania kuchukiwa na idadi kubwa ya vijana wake. Tatizo la msingi ni nini?

Sio vijana. Sasa hata wazee. Nmetoka juzi vijijini wazee wanaichukia ovyo. Wazee walizoea kupata luzuku za pembejeo ila toka magufuli aingie hawajaona kitu kma luzuku. Wengi wanalia njaa
 
Sio vijana. Sasa hata wazee. Nmetoka juzi vijijini wazee wanaichukia ovyo. Wazee walizoea kupata luzuku za pembejeo ila toka magufuli aingie hawajaona kitu kma luzuku. Wengi wanalia njaa

Wekeni chuki zenu kwenye sanduku la kura tuzione!!!
 
Hawo unaowasema hapa ni wale wenye uthubutu wa kusema Sasa bado wale wanaotukania moyoni hasa watumishi na wale wanaoamuaga kuongea wenyewe wakiwa peke yao, na wale wote wanaoisifia hii serkali wakapimwe mkojo na ikiwezekana wakapimwe na vinukta vinavyoachwa na ule upepo Kenya wanauita UNYAMBO
 
Hawo unaowasema hapa ni wale wenye uthubutu wa kusema Sasa bado wale wanaotukania moyoni hasa watumishi na wale wanaoamuaga kuongea wenyewe wakiwa peke yao, na wale wote wanaoisifia hii serkali wakapimwe mkojo na ikiwezekana wakapimwe na vinukta vinavyoachwa na ule upepo Kenya wanauita UNYAMBO
aiseee hatari saanaa
 
Picha hapo chini zinaonesha jitihada za serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama katika kusaidia wahanga wa ajali ya bus la wanafunzi wa shule ya Lucky Vincent iliyotokea wilayani Karatu katika mkoa wa Arusha.

View attachment 527790

View attachment 527792

Licha ya juhudi zote hizi bado vijana wanatukana sana serikali yao? Tatizo ni nini hasa?

Gharama zote za mazishi kuanzia jeneza, mochwari, usafirishwaji wa miili mpaka majumbani mwa wafiwa, the government paid all these, but guys hawapo thankful kabisa? Kila siku ni matusi na kejeli kwa nchi yao, kwanini?

Ina maana hakuna jema serikali inalofanya hata kustahili sifa?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Viongozi wenu wanajituma sana kuwahudumia kadri ya uwezo wao na hali ya uchumi wa nchi. Learn to be thankful hata kwa vitu vidogo kama hivi.

Najua nitatukanwa, kukejeliwa na kuitwa najipendekeza na kila aina ya jina, lakini tatizo la msingi ni lipi kati ya vijana na serikali yetu ya Tanzania?

Nothing is easier than blaming others for your own problems. Hakuna jambo rahisi kama kulalamikia serikali kwa matatizo yako wewe mwenyewe.

Nawasilisha.
Acha kujipendekeza kijana wewe
 
Gharama zote za mazishi kuanzia jeneza, mochwari, usafirishwaji wa miili mpaka majumbani mwa wafiwa, the government paid all these, but guys hawapo thankful kabisa? Kila siku ni matusi na kejeli kwa nchi yao, kwanini?

.
Serikali gani ililipia hizo ghalama? Hozo ghalama zililipwa kwa michango ya watu
 
Tomorrow in the streets looking for a brighter tomorrow the revolution will not be televised.
 
Vijana wengi wanaomaliza masomo na kukosa ajira ni bomu ambalo serikali inaliandaa bila kujijua...
Na tumeshuhudia wenyewe kwenye number ya walioitikia usaili wa ajira za hivi karibuni...Wapo bitter...Lakini ndani ya moyo wangu nashangaa kabisa kwanini ajira iwe kitu kigumu kwa vijana, this will never understand kwa nchi yenye rasilimali kama yetu...I just pray we all understand we are cheated tangu tulivyofundishwa na jinsi mataifa yanayoendelea yanavyozidi kutuletea proposal zenyekusababisha kila siku tusitoke kwenye status quo yetu...Nchi inayoendelea inakosaje ajira? Matatizo yote haya hakuna ajira how?
 
Picha hapo chini zinaonesha jitihada za serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama katika kusaidia wahanga wa ajali ya bus la wanafunzi wa shule ya Lucky Vincent iliyotokea wilayani Karatu katika mkoa wa Arusha.

View attachment 527790

View attachment 527792

Licha ya juhudi zote hizi bado vijana wanatukana sana serikali yao? Tatizo ni nini hasa?

Gharama zote za mazishi kuanzia jeneza, mochwari, usafirishwaji wa miili mpaka majumbani mwa wafiwa, the government paid all these, but guys hawapo thankful kabisa? Kila siku ni matusi na kejeli kwa nchi yao, kwanini?

Ina maana hakuna jema serikali inalofanya hata kustahili sifa?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Viongozi wenu wanajituma sana kuwahudumia kadri ya uwezo wao na hali ya uchumi wa nchi. Learn to be thankful hata kwa vitu vidogo kama hivi.

Najua nitatukanwa, kukejeliwa na kuitwa najipendekeza na kila aina ya jina, lakini tatizo la msingi ni lipi kati ya vijana na serikali yetu ya Tanzania?

Nothing is easier than blaming others for your own problems. Hakuna jambo rahisi kama kulalamikia serikali kwa matatizo yako wewe mwenyewe.

Nawasilisha.
tafuta video za tra kwenye interview uone ule umati unahisi wataipenda serikali yao???
nenda vyuoni uone wadada wakijuza huku wakaka wakipiga pass ndefu halafu ujiulize wataipenda nchi yao??
nenda kwenye nyazifa za uongoz uone walivojaa wazee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana wengi wanaomaliza masomo na kukosa ajira ni bomu ambalo serikali inaliandaa bila kujijua...


Ajira zipo kwenye bongo fleva, hivi ndivyo alivyotaka Kikwete. Kusweka vijana kwenye bongo fleva na kuidanganya nchi kuwa sie masikini huku yeye na washikaji wake wanatuibia.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom