Recent content by Saitoti

  1. S

    TANZIA: Askofu Mstaafu Amedeus Msarikie afariki dunia leo alfajiri

    Baba Amedeus , may you enjoy the internal life.
  2. S

    Nape azungumzia Harambee ya CHADEMA, wamjibu na kusema kakurupuka!

    Jamaa aliandika topic pamoja na Nape wanatakiwa wakapimwe akili kwa kweli . Nchi ishauzwa siku nyingi. Chadema wanataka kuikombowa: 1. Kwa sasa Unalipia Fire extinguisher 30,000/= just to certify it , hapo hujanunua .Unakwenda magereza kisongo Arusha , unalipia barabara 500/=...
  3. S

    Serikali yarejesha kodi kinyemela kwenye allowance zote!

    Ndio maisha bora kwa kila mtanzania
  4. S

    Kwa kauli ya nassari inabidi chadema wasitishe kwanza sera yao ya majimbo otherwise itatucost.

    Kuhusu Radio Imani ni wazi inachoche vurungu nchini
  5. S

    Msimamo wa CCM kuhusu tuhuma za kuhusika na mauaji ya wana-CHADEMA

    Nape ni kilaza kweli hawezi kujenga hoja .Nape my young brother why are you unrealistic you can think hata kidogo
  6. S

    Angalia wanaojua maana ya PhD za heshima hawazitumii kama vile walisomea

    Ni Kweli Mh. Hata jana nilisikia Dr. Reginald Mengi. Dr. Augustine mrema , just shame.
  7. S

    Mbowe kuongoza mashambulizi kesho pale viwanja vya nmc

    Ni Kweli Mkuu gari linangaza
  8. S

    Kifo cha mwenyekiti wa CHADEMA Usa river-Arumeru - Arusha

    Mtoa maada ni zezeta , Anatakiwa kuwajibisha sereikali yake ambayo imeshindwa kazi na kuipeleka kwa wananchi kwa kuahidi 10 m kama watatoa taarifa kuhusu mauaji ya chai. Mtoa mada ni mjinga sana He can not think through the end.
  9. S

    Mzee Pinda linda heshima yako - Jiuzulu tu

    Naunga Mkono Kiongozi , Ni kweili kama JK amesema ni upepo kwanza usemi wake ni kweli kwani anajua wazi kwamba wabunge wa CCM hawamanishi wanachokisema bale bungeni sote tumeona wawili tu ndio wamejiandikisha kutokuwa na imani na utendaji wa MP. 2. Kusema kwamba ni...
  10. S

    Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

    Big up movement for Change . Mh. mdee alilianzisha kuwataka wabunge wasilalamike ila wafanye maamuzi . Kwani wanauwezo huo. Lisu na Zitto wakapigia msumari.
  11. S

    Youths Patriotic Change kuikomboa Tanzania kabla ya katiba mpya kukamilika,

    Ndio leo mawazi watajibu kama unaserikali au la! kwani wabunge waliuliza kama kuna serikali kweli wakati kila idara kuna mamilioni ya fedha hamitumiwa visivyo.
  12. S

    Taarifa ya kuanza kwa kikao cha Bunge kesho

    Katika Hoja binafsi nashauri Mh . Visenti Nyerere atoe hoja ya kuondoa pensheni kwa Mkapa na viongozi , Raisi mtaafu atakaye jishuhulisha na Siasa ( kampeni ) kwani anatumia kodi zetu. Pia kuhoji Waziri mkuu Pinda , Kutumia ufunguzi wa wa chuo cha VETA (Pwani) kunadi CCM...
Back
Top Bottom