- Thread starter
- #21
Hatulaumu chama ila polisi tujuavyo hawawezi kutupa majibu stahiki,walau ilitakiwa cdm mkoa waweke kambi walau wiki wakitafiti na pia liwepo tamko kali kwenda ikulu na ccm kwa ujumla,LAKINI HAYO YOTE HAYAJAFANYIKAMi cdm damu,ukisema 2chunguze utakuwa unaingilia kazi ya polisi..2silaumu chama.