bogota the king
Member
- Feb 3, 2012
- 77
- 48
Rungu la KODI kwa wafanyakazi limerejeshwa tena kinyemela bila hata kutangazwa na waziri wa fedha kwenye hotuba ya bajeti! Allwance zote zitakatwa kodi kama zamani na TRA tayari wameanza kusambaza majedwali yenye kanuni mpya ya kufyeka mishahara ya watumishi wa serikali na mashirika yake bila hata huruma! Danganya toto ya kupandisha mishahara itaishia kwenye mlolongo wa makodi katika kila bidhaa na mfumuko wa bei ambao hadi hii leo BOT hawana takwimu halisi! Tunakwenda wp?