Serikali yarejesha kodi kinyemela kwenye allowance zote!

Feb 3, 2012
77
48
Rungu la KODI kwa wafanyakazi limerejeshwa tena kinyemela bila hata kutangazwa na waziri wa fedha kwenye hotuba ya bajeti! Allwance zote zitakatwa kodi kama zamani na TRA tayari wameanza kusambaza majedwali yenye kanuni mpya ya kufyeka mishahara ya watumishi wa serikali na mashirika yake bila hata huruma! Danganya toto ya kupandisha mishahara itaishia kwenye mlolongo wa makodi katika kila bidhaa na mfumuko wa bei ambao hadi hii leo BOT hawana takwimu halisi! Tunakwenda wp?
 
Kasi zaidi,nguvu zaidi na ari zaidi! Kama kuna mtu alishawawi kumsikia kikwete akisema huo msemo baada ya uchaguzi ajitokeze na vithibitisho nimpe zawadi nono
 
Bora waondoe posho zote au wakate kodi 50-75 pct all allowances. Posho ndio chachu ya ufisadi.
 
Rungu la KODI kwa wafanyakazi limerejeshwa tena kinyemela bila hata kutangazwa na waziri wa fedha kwenye hotuba ya bajeti! Allwance zote zitakatwa kodi kama zamani na TRA tayari wameanza kusambaza majedwali yenye kanuni mpya ya kufyeka mishahara ya watumishi wa serikali na mashirika yake bila hata huruma! Danganya toto ya kupandisha mishahara itaishia kwenye mlolongo wa makodi katika kila bidhaa na mfumuko wa bei ambao hadi hii leo BOT hawana takwimu halisi! Tunakwenda wp?

Shetani ni mwongo na baba huo.Serikali hii ni ongo sana.This proves beyond reasonable doubt that this government is demonic.
 
Na hutasikia Zitto wala yeyote kulalamika
hii ni crime sasa

Zitto bora akae kimya kwa sasa, manake kila atakachofanya inaonekana sumu kwa wana CDM, Ataambiwa amedadia hoja ya chama na kuifanya yake..
 
sasa huyo ng'ombe anaye kamuliwa maziwa,siatakamuliwa mpaka damu sasa?payee juu ;sasa posho nazo wanakata kodi.
 
Kazi kweli kweli,serikali dhaifu huwaza kidhaifu na kuwa na maono dhaifu.
 
Rungu la KODI kwa wafanyakazi limerejeshwa tena kinyemela bila hata kutangazwa na waziri wa fedha kwenye hotuba ya bajeti! Allwance zote zitakatwa kodi kama zamani na TRA tayari wameanza kusambaza majedwali yenye kanuni mpya ya kufyeka mishahara ya watumishi wa serikali na mashirika yake bila hata huruma! Danganya toto ya kupandisha mishahara itaishia kwenye mlolongo wa makodi katika kila bidhaa na mfumuko wa bei ambao hadi hii leo BOT hawana takwimu halisi! Tunakwenda wp?
safi sana

safi sana
 
Nchi hii naimani wanaofanya kazi kihalali hawafiki hata laki moja, wengine magumashi kwenda mbele, ujanja mwingi kwa hiyo wanaona sawa tu!!
 
sasa imefka zamu ya wafanyakazi kupelekwa msitu wa pande, daa 2015 imekuwa mbaliii
 
Hii serikali ni dhaifu mno,yani njia ya haraka ya kujipatia mapato yake ni kupandisha kodi tu,haifikirii vyanzo mbadala kwa kweli patachimbika muda si mrefu hapa
 
Back
Top Bottom