Recent content by saita

  1. S

    Wanachokitaka wanawake

    awe ni mtu aliyebeba utu wa mwanadamu kuliko kitu kingine chochote. akiwa ni wa kunipenda mimi na kuwachukia wengine itakuwa ni hatari sana.
  2. S

    'MESEJI' ya HUJUMA...

    tuwekee data za kutosha ili tuweza kuriacti ktk hiyo issue men.
  3. S

    Gazeti la Rai: Mukama adaiwa kutaka kujiuzulu kisa Nape; Mwenyewe akanusha!

    hawakiwii kusema kuna mkono wa wapinzani ktk hiyo attempt ya bwana magamba mwenzao.
  4. S

    Gazeti la Rai: Mukama adaiwa kutaka kujiuzulu kisa Nape; Mwenyewe akanusha!

    hilo lipo wazi kwa kila mtu mweenye macho na akili ya utambuzi, ngoja tuone msimamo wa bwana Mukama au ndiyo zilezile fiksi zao.
  5. S

    Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

    hiyo ni siasa na kamwe hawezi kushinda na pengine amejitia doa huyo Rose Kamili. Ni vyema akajua ashakua na pia she is a public figure.
  6. S

    Kupungua au kukosa hamu ya kufanya mapenzi (low sexual libido or loss of libido)

    Hayo ndiyo maipact ya fgm au ukeketaji, laani hilo katika jamii yako
  7. S

    Huwa siwezi kabisa....

    Bado haujakua na inaonekana unamwogopa mkeo na mbaya zaidi ulizoea kwenda porini
  8. S

    Naombeni ushauri.

    Zidisha ujuzi wa kumjenga kisaikolojia zaidi
  9. S

    Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

    Hakuna kitu cha hatari kama kutembea na mke wa mtu, its very bad and painful ndo maana mwenye mke akikufuma anakata shingo na polisi hakuna kesi . Look verry.
  10. S

    Usaliti sio mzuri nimekoma.

    Hivyo vitu sio vya kujaribu jaribu uwe makini coz kuna siku utakutana na aliye flat na smooth.
  11. S

    Hiki kitendo ni cha halali wakuu?

    Haiwezekani na hakika atamfuata siwezi kuridi naye.
  12. S

    mke mwema(kwa wanaume tu)

    Kwa aslimia tisini ni sawa
  13. S

    Lipi hupendi mpenzi wako afanye ... ? Mimi ni hili .. we je?

    Pale anapokuwa itrovert hata anashindwa kuwapokea wageni
  14. S

    Lipi hupendi mpenzi wako afanye ... ? Mimi ni hili .. we je?

    Akisema ndio mwanzo wa mtafaruko wa mahusiano, he is to keep quite.
  15. S

    Katiba mpya na fiksi za wakuu wa Wilaya.

    Inasikitisha kusikia tayari wakuu wa wilaya ambao ni mkada wa chama cha mapinduzi tayari wameshaanza kuichakachua mpango wa ukusanyaji wa maombi ya katiba mpya. Wanawapanga watu wa kuongea na vitu vya kusema huku wakiwaelekeza wenyeviti wa kata kuwapointi kila wanaponyosha vidole na kuwaacha...
Back
Top Bottom