Huwa siwezi kabisa....

mkuu,mayb nlikosea kueleza,ni hivi ni chumba chenye self ya kishkaji,yan choo na bafu viko sehemu moja,so ukitaka kuoga au kukata gogo ni humo humo,sasa huwa tuna kawaida ya kuoga wote,ila mwenzangu ndio hivo tena naweza nikawa naoga yeye anakata gogo hapo pembeni bila hata kunionea aibu!

Duuh nyumba nyengine noma, nimeshawahi kuona studio lakini bila mlango wa toilets, never :nono: Tumia mbinu, oga au kata gogo akiwa amelalal au ametoka.

Sasa akija mgeni akitaka kujisaidia inakuwaje, nyote mwatoka chumbani?
 
We unaogopa nini wakati hayo ni mambo ya kiafya...sasa unataka ukiwa unajisaidia usitoe "gas and Solid" staff......Basi ukiwa unaingia chooni weka muziki kwenye simu yako ili asisikie.....hahaha
 
mkuu,mayb nlikosea kueleza,ni hivi ni chumba chenye self ya kishkaji,yan choo na bafu viko sehemu moja,so ukitaka kuoga au kukata gogo ni humo humo,sasa huwa tuna kawaida ya kuoga wote,ila mwenzangu ndio hivo tena naweza nikawa naoga yeye anakata gogo hapo pembeni bila hata kunionea aibu!

Aisee lol......wakati wa kuoga????? .....daaaah huyo kweli hana aibu tehe tehe tehe!
 
ww usha kuwa mkubwa sasa na kama huyo ni mkeo huna haja ya kujishauri ww achia mzigo tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!111
 
Hahahaaa... Umenichekesha sana.. mambo yooote mnayofanya huoni aibu, aibu inakuja kwenye kukata gogo???.. Mmh..Pole yako kaka!
 
Siyo kila kitu nicha kupost!
Akili tunazo, matumizi hatuyajui.

Hivi ni ushauri gani hapo unautegemea?
Mnafanya tuamini hakuna sifa za kuoa, yan hadi swala la toilet unataka ushauri?

Nafikiri ni vizuri ukatafakari kabla ya kuweka uzi.

@ruttashobolwa You're right bro! Ila look in the bright side, the guy made our day!
Hahahahahaha! Eti na vijambo juu!!
Big up mtoa mada!
Technically baada ya kufurahi we can do nothing coz huwezi shindana na nature...thats why its called the call of nature. When nature calls you can't resist
 
Wakuu,mimi nina tatizo moja,chumba changu ni self{yani kina choo na bafu humo humo}tatizo ni kwamba,huwa siwezi kukata gogo mbele ya mpenzi wangu,lakn mwenzangu yeye naona hata huwa hajali,anaweza aingie ashushe mzigo wake hapo na vijambo juu lakini mim nimeshndwa kabisa,nahisi aibu!nishaurini nin cha kufanya jaman.

Una beleshi/koleo? Kama unaona aibu ku n y a chooni wakati mchumba wako yupo basi uwe unakunya nje, unazoa na beleshi/koleo halafu unahifadhi panapohusika.
:eek:hwell:
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom